Valid_Options
Member
- Nov 13, 2010
- 43
- 0
Wewe unategemea nini toka kwa lady anayepaka paka rangi nywele zake na mlevi wa pombe na sigawa wa kupindukia pia waheshimiwa wanapumzika kama hawna akili nzuri siwezi shangaa akiwa DC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma na uelewe mada Mkuu!!Hapa tunaongelea WELEDI(proffesionalism)Jane kama Mtangazaji anatakiwa afanye kazi kwakuzingatia Taaluma au ethics za Utangazaji nasio kuwa Bias kwa Chama fulani,Kama Raia ana haki yakuwa na chama ila anapokuwa kazini lazima aheshimu Taaluma ya Utangazaji inataka nini.Mbaya zaidi anafanya kwenye Shirika la Umma ambalo halitakiwi kuwa na Mrengo wowote wa Kichama coz linaendeshwa na kodi za wananchi wanaoshabikia vyama vya siasa na wasio na vyama.They are paid coz of our Taxes.Pale unapoona mwenzio anachukua side, kuwa agaisnt na upinzani basi jua na wewe uko kwenye side ya kuusupport upinzani. Wote tukiwa upande mmoja nani atamfunga paka kengele? Tukubali kutokukubaliana, ndio demokrasia.
she is unprofessional kweli kweli! Fuatilia anavyoendesha mahojiano. Huwa anatake side-sijui ni mwandishi wa aina gani? Watu kama hawa kwenye taasisi nyeti kama hii ya TBC (Nowadays wamekuwa hopeless) ni tabu tupu.