Huyu huenda kweli akawa ni mwana wa Mungu aliye hai angalia Mayele, Dkt Biteko, Chalamila, Dkt Mwigulu, Dkt Samia, Dkt Tulia hata Paul Makonda

Wewe ni muongo Grade ya Taifa.
1. Kwamba manabii wa uongo hawatozi fee kuwaona?

2. Kwamba manabii wa uongo wanaita watu kutubu na kuokoka mwisho wa IBADA zao?

3. Kwamba manabii wa uongo wanakemea dhambi?

4. Kwamba hawaruhusu vimini na nguo za kubana kuingia ktk makusanyiko yao?

5. Kwamba hawauzi Kijiji Cha udongo 9,000/=?

6. Kwamba chupa ya Ml 500 ya maji ya upako wa mchongo haiuzwi zaidi ya 2000?
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanao ongezeka siku kwa siku mwezi kwa mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia wakristo kwa Waisilamu hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na Dunia ikashangaa,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea Dkt Tulia na akashinda kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea Pyramids hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi wengine wanakwenda kwa Siri na hawashuki kwenye magari yao ila wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha matendo ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya,


MFuatilie: Azam channel No 469
Startimes No 117

You tube: Mwamposa Live
: Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Nimekumbuka tu enzi zile za pastor Kakobe alitembelea mpaka vita ya Iraq vita ikasimama kwa siku kadhaa watu wakapokea neno mpaka siku alipomaliza ziara zake akaondoka ndio jamaa wakaendelea na vita yao!
Leo hii Kakobe kimya duh!!!
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanao ongezeka siku kwa siku mwezi kwa mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia wakristo kwa Waisilamu hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na Dunia ikashangaa,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea Dkt Tulia na akashinda kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea Pyramids hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi wengine wanakwenda kwa Siri na hawashuki kwenye magari yao ila wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha matendo ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya,


MFuatilie: Azam channel No 469
Startimes No 117

You tube: Mwamposa Live
: Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Mimi sikwenda Kawe,ila nikiwa Mwanza Mwamposa alikuwa kwenye kipindi cha ,"Operesheni Komboa familia"akasema chukua Maji ya nyumbani na Mafuta na uelekeze kwenye screen,nilifanya kama alivyoelekeza baadaye baada ya kuyaombea akasema rusha maji sebuleni,vyumbani na mpaka nje ya geti ninapoingilia.
Halo nilichokikuta asubuhi ndani chini ya kitanda kuna Nnge ba buibui mkubwa kafa na nje getini kwa juu nilikuta dawa imefungwa na nywele kwenye karatasi ya nylon.Nilishangaa sana!
Ile nyumba kila nikipata hela ilikuwa haikai mkononi na sikuwa na maendeleo yoyote.Ila sasa baada ya kuhama pale kipato changu kilekile,nimenunua viwanja na sasa najenga kiurahisi kabisa.Wakuu uchawi upo,Mwamposa anasaidia tusimbeze,Mimi sijawai kuonana nae zaidi uya kufuata maelekezo yake kwenye screen!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanao ongezeka siku kwa siku mwezi kwa mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia wakristo kwa Waisilamu hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na Dunia ikashangaa,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea Dkt Tulia na akashinda kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea Pyramids hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi wengine wanakwenda kwa Siri na hawashuki kwenye magari yao ila wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha matendo ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya,


MFuatilie: Azam channel No 469
Startimes No 117

You tube: Mwamposa Live
: Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
Mwaposa ni nabii wa uongo
Mwamposa ni mshirikina
Mwamposa ni mpenda fedha
Mwamposa ni mwizi wa fedha za watu
Mwamposa ni mchafuzi wa kazi za Mungu aliye hai
Mwamposa hana tofauti na waganga wa kienyeji
Mwamposa mchumia tumbo.

Soma 1kor 1:10-13
 
1. Kwamba manabii wa uongo hawatozi fee kuwaona?

2. Kwamba manabii wa uongo wanaita watu kutubu na kuokoka mwisho wa IBADA zao?

3. Kwamba manabii wa uongo wanakemea dhambi?

4. Kwamba hawaruhusu vimini na nguo za kubana kuingia ktk makusanyiko yao?

5. Kwamba hawauzi Kijiji Cha udongo 9,000/=?

6. Kwamba chupa ya Ml 500 ya maji ya upako wa mchongo haiuzwi zaidi ya 2000?
Labda hujui unacho andika kumhusu huyo mtu

Nahitimisha wewe ni Muongo to the core
Acha kusema uongo
Huo using unakuwepogi uwanjan na Watu huchukua buree
Mzee labda chuki zimekuja na kujiona unajua sn
 
Mwaposa ni nabii wa uongo
Mwamposa ni mshirikina
Mwamposa ni mpenda fedha
Mwamposa ni mwizi wa fedha za watu
Mwamposa ni mchafuzi wa kazi za Mungu aliye hai
Mwamposa hana tofauti na waganga wa kienyeji
Mwamposa mchumia tumbo.

Soma 1kor 1:10-13
Wewe hupendi hela? Nawe weka mabango tuje tukupe badala ya kusifia eti Mwamposa anapiga hela.
 
1. Kwamba manabii wa uongo hawatozi fee kuwaona?

2. Kwamba manabii wa uongo wanaita watu kutubu na kuokoka mwisho wa IBADA zao?

3. Kwamba manabii wa uongo wanakemea dhambi?

4. Kwamba hawaruhusu vimini na nguo za kubana kuingia ktk makusanyiko yao?

5. Kwamba hawauzi Kijiji Cha udongo 9,000/=?

6. Kwamba chupa ya Ml 500 ya maji ya upako wa mchongo haiuzwi zaidi ya 2000?
Wewe hujui chochote ndg yangu pole sana , Mungu akusaidie
 
Katika kuitetea na kuisambaza Injili ya Kristo ili iwafikie watu wa mataifa yote, mitume wote walipitia taabu na mateso mengi hadi mauti. Licha ya wao hata watumishi wengine wacha
Mungu walipitia changamoto nyingi za kila namna.

Kila walichokifanya, miujiza mingi na ishara walizozifanya, kanuni kuu ni kwamba sifa, heshima, na utukufu wote unapaswa kurudishwa kwa BWANA YESU KRISTO mwenyewe, na wala si l
kwa ajili ya madhabahu ya mtumishi anayehudumu. Ni vyema tukatafakari kwa kina juu ya aina ya huduma na utumishi katika nyakati za sasa kanisa kwa kupitia nukuu ifuatayo;

UFUNUO 3

14 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.

15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.

16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

17 Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na u uchi.
 
Katika kuitetea na kuisambaza Injili ya Kristo ili iwafikie watu wa mataifa yote, mitume wote walipitia taabu na mateso mengi hadi mauti. Licha ya wao hata watumishi wengine wacha
Mungu walipitia changamoto nyingi za kila namna.

Kila walichokifanya, miujiza mingi na ishara walizozifanya, kanuni kuu ni kwamba sifa, heshima, na utukufu wote unapaswa kurudishwa kwa BWANA YESU KRISTO mwenyewe, na wala si l
kwa ajili ya madhabahu ya mtumishi anayehudumu. Ni vyema tukatafakari kwa kina juu ya aina ya huduma na utumishi katika nyakati za sasa kanisa kwa kupitia nukuu ifuatayo;

UFUNUO 3

14 Na kwa malaika wa kanisa lililoko Laodikia andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye Amina, Shahidi aliye mwaminifu na wa kweli, mwanzo wa kuumba kwa Mungu.

15 Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto.

16 Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

17 Kwa kuwa wasema, Mimi ni tajiri, nimejitajirisha, wala sina haja ya kitu; nawe hujui ya kuwa wewe u mnyonge, na mwenye mashaka, na maskini, na kipofu, na u uchi.
Wewe Mfuatilie Mwamposa hutajuta na imani yako itapanda zaidi ya hiyo
 
View attachment 2849652View attachment 2849653View attachment 2849654
View attachment 2849655

Habari Tanzania,

Kwa muda sasa kumekuweko mijadala mbalimbali kuhusu Ndugu yetu Apostle Bonface Mwamposa almaarufu kama Bulldozer.

Apostle Bonface Mwamposa anahudumu katika madhabahu ya Arise & Shine au kwakimombo " INUKA UANGAZE" ( Isaya 60:1 ) yaliyoko Kawe jijini Dar es Salaam Tanzania.

Apostle Bonface Mwamposa amekuwa na wafuasi wengi wanao ongezeka siku kwa siku mwezi kwa mwezi au mwaka kwa mwaka yaani ni mamilioni kwa mamilioni ya waamini toka nje na ndani ya bara la Africa,

Apostle Bonface Mwamposa, ibada zake zote hazina Misingi ya dini au dhehebu lolote ila " IMANI KWA YESU KRISTU NA MUNGU ALIYEMTUMA "


Apostle Bonface Mwamposa, anahudumia wakristo kwa Waisilamu hata wale wote wasio na dini kabisa kama akina Yeriko Nyerere nao pia wakiamini wanapokea uponyaji wa mwili na roho pamoja na haja zao kutimilizwa na Mungu wa Boniface,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwambia Dkt Willium Ruto kwamba "Nenda Utashinda Uchaguzi" na mishowe Ruto akashinda Urais,

Bila Mungu ilikuwa ni ngumu sana mtu kama Mhe Willium Samoi Ruto kuwashinda Mhe Raila Omolo Odinga na Kenyatta Uhuru ila Mungu wa Boniface akafanya jambo pale Kenya na Dunia ikashangaa,

Apostle Bonface Mwamposa, Ndiye aliyemwombea Dkt Tulia na akashinda kuwa Spika wa mabunge yote Duniani ( IPU ) hata Leo,

Apostle Bonface Mwamposa, ndiye aliyemwombea kaka yetu Fiston Kalala Mayele na akawa mchezaji bora wa wakati wote Nje na ndani ya Tanzania nadhani sote tunakumbuka huyu kijana anayechezea Pyramids hivi Sasa,

Orodha ya waliosaidiwa na Mungu kupitia kwenye kinywa Cha Apostle Bonface Mwamposa ni wengi wengine wanakwenda kwa Siri na hawashuki kwenye magari yao ila wanatendewa japo ni ujinga kujificha au kuficha matendo ya Mungu wakati kwa waganga mnakwenda tena waziwazi.

Hoja yangu hapa ni , Je? Mwamposa kwa kuzingatia mafundisho yake na upako alionao huenda ni kweli huyu bwana akawa ni mwana wa Mungu ila sisi imani zetu zimekamatwa na shetani na hivyo tunashindwa kutofautisha kati ya kazi za shetani na kazi za Mungu?
====

Kama hujawahi kwenda au kumsikiliza Apostle Bonface Mwamposa jipe muda wa kumfuatilia kabla hujamsema vibaya,


MFuatilie: Azam channel No 469
Startimes No 117

You tube: Mwamposa Live
: Arise & shine Tanzania

Instagram: Arise & shine Tanzania
TWENDENI ZETU KAWE
 
Pale Ocean Road kuna wagonjwa wa Kansa wa kutosha, kama kweli ni mtenda miujiza si aende akawaombee wale waamke na Kansa iwatoke,acheni usenge wenu kudanganya watu humu JF
Waleteni pale Kawe sio aende haya mambo ni mpaka uamini kwanza
 
Mimi nilikufa juzi, Mwamposa akanifufua! Nikatoka kaburini nikajifuta mavumbi nikasepa home watu wakakimbia.

Leo simu yangu haina vocha mwamposa kaiombea, sahivi nachat bila bundle na naingia xvideos na pornhub vizuri tu nawaona kina Mia Khalifa
 
Back
Top Bottom