Is there naturally handsome man too?She is natural and cute
Alichotibua kama sikosei ni kuwaita watoto wengine vilaza.Kwa hili la Jessica Magufuli nawapinga wale wanasiasa wengi wa upinzani, tuache siasa nyepesi za matukio, let's base on issues.
Swala lipo hivi
Siasa mpaka kwenye Elimu ni challenge katika nchi. Jesca Magufuli qualification zake za form four ni qualification za certificate kwa mfumo wa NACTE na bahati nzuri amemaliza mwaka 2011 akaingia certificate mwaka mmoja then Diploma miaka miwili then akaingia Degree kwa utaratibu wa NACTE na ndo maana unaona kwenye hiyo selection ya UDOM ni ya NACTE sio ya TCU, anachokipinga Rais ni mtu mwenye qualification kama za Jesca kwenda moja kwa moja diploma bila kupitia certificate na hapo ndo kosa lilipo. Sio kwamba ukipata four huendelei na shule hapana, ila unaendelea kwa mfumo wa Competence based wa NACTE tofauti na mfumo wa TCU. Nadhani masuala ya Elimu tuwaachie wasomi sisi tubaki na siasa.
No research no right to talk.
[HASHTAG]#TCRA[/HASHTAG] Fanyeni kazi yenu kwa hawa wasambazaji wa habari za kudakia.
Sana tu, unampa kazi kishenzi [HASHTAG]#hapakazitu[/HASHTAG] mpaka iwe na iwe..Wabongo kwa figisu figisu! Ila mrembo
Huyo wa upande wa kulia mwenye njano ni mtoto wa OBAMA?
Ila huyu wa Kagame ni motooo!!!!
Makuu awe nayo kwa baba yule?Mtoto wa Rais but anaonekana hana makuu kabisa kama wazazi wake.
We ungekuwa mtoto wa mwenyekiti wa serikali ya mtaa tu ...
Ungejipodoa mpaka ukapodoleka.
Na ungekuwa na mtu wa kukushikia nywele...
Sipati picha siku nitakapo peleka posa kwa Dereva wa lori
tobaKama kitanda kutandika hawezi k si ndo itakuwa kama wolper
tena ni shotokan karate....anaonekana alikua anacheza mpira wa miguu au karate
alikua na sap mbili semister ya kwanza na moja semister ya pili....alpofka mwaka wa pili Akahamia dom townKitanda namba ngapi?