Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Kitu mamba nane
Kitu mamba nane
Kitanda namba ngapi?Hiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre
Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Aisee Mzee baba,MPE namba yangu ya TTCL ile inayoishia na 03,mwambie anibip,kuna chuo huku Zimbabwe wanachukua wenye maksi kama zake,nitamfanyia mpango lkn lzm anipenyeze kati kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mashallaahh
HahahahahahahaaaaaaMkemia katoa product ya ukweli aiseee....
Safi amelelewa kwenye familia yenye maadili. Inapendeza sana.
Kama mrwanda vilee