Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,708
- 12,789
Umuogopi baba mkwe?Naomba namba yake ya simu
Umuogopi baba mkwe?Naomba namba yake ya simu
hahahaha!unachukua majukumu ya mama ndali mkuu.Kumbe namba moja ana katoto kaukweli kabisa! basi bana ile four tumeidelete.
dah!hawa nuksi wanaweza wakakupiga like cha kina seya hawatabiliki.Potelea mbali nikirudi si bado ntamkuta mwanangu? Mjukuu wa mtukufu mstaafu?
Mkuu uko vizuri, sana no ya simu jeHiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre
Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake
Kwamba debe miaka kumi na kenda?Mkuu baba ake haeleweki. Unaweza mpiga mimba ukachezea debe miaka kumi na kenda. Baba mkwe mtata sana.
We barafu mfukunyuzi kweli umechimba wee had room namba ukajuaHiyo cheka kama ya Mama yake!!Hapo ni hostel za College ya Social Science
Room #96 block four.....chumba cha kwenye kona,kama unaona nyuma kichwani kwake inaonekana kona ya dizaini fulani...Hivi vyumba vya kwenye kona ni vikubwa kuliko vingine,na kukipata lazima uwe na ukaribu na Block Warden...Huyu alipata sababu ya yule Warden Mkuu Albino....Chumba kubwa na space ya maana..Zulia za Home Shopping Centre
Msiniulize sana...nimefikaje fikaje mpaka kwenye hicho chumba!!Sema binti mtu wa sala sana...ana hofu ya Mungu,nafikiri sababu ya ukaribu sana wa Mama kuliko mzee...Japo wanamgwaya sana Mzee!!Yaani ile "tone" ya mzee Jukwaani ni mpaka sebuleni... Niishie hapa!!Nisije nyea debe bureee,Maana Mzee hataki mchezo na binti zake