Huyu hapa Jesca John Magufuli

Ridhwani Kikwete baada ya Babake kuwa Rais alikutana na Abbas Mwinyi na Makongoro wakamueleza Changamoto za kuwa Mtoto wa Rais na changamoto zake kwny media.
Ridhwan Kikwete nae ni wajibu wake kukutana na huyu binti kumuandaa kisaikolojia.
Kumbe kuwa mtoto wa Rais kuna changamoto?.
 
Mkuu kanaliza 2011. Ila matokeo yalitoka 2012, piga hesabu 2012 2013 certificate, 2013, 2014, dploma one 2014 2015, kamaliza dploma 2015, 2016 frist year....sasa yeye yupo second year. Jiulize kafikaje
Kafika km wengine walivyofika.
 
Yuko natural...
Ngozi nzuri...
Sura nzuri...
Anakaa mguu fulani I hope nyama zitakuwa zmeongezeeka mguuni
Na mwili aongrzeke kdg yaani kdg
Atakuwa bombaaa

Ova
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom