DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Sura ya baba hiyo si mchezo
Hii ni wakat akiwa o level..sa hivi kajichubua kawa mweupe
Mkuu 2wekee iyo ya recently alokua white..Hii ni wakat akiwa o level..sa hivi kajichubua kawa mweupe
hata msemeje baba yake ndo rais wenu
Sina picha yake Ila huwa naonana naeMkuu 2wekee iyo ya recently alokua white..
ili umtafune kiulainiiiiila nigekuwa jesca ningehamia kwa bibi, shangazi,au mama mdogo
Huyu hata akipata div 6, poa tu, unaoa.. yuko vizuri.. TUIFUTE ILE DIV.4.. ili tubalance equation..!!
Naifuta Div. 4.. yuko powa
Kivipi mkuu ? Sijakuelewaalitikisa dodoma
Alikuwa hajui wafukunyunyu, maskini mtoto kaponzwa na mdomo wa mshua wake
chuo gani kingempokea huko nje kwa kufeli kwakeIla tukiacha siasa..huyu rais wetu mwema sijui ni roho ya kizalendo au ni nini??Anasomesha mtoto hapa Tanzania kweli ni wakupongezwa.
mbona anatumika tu vizuriKumbe anafaafaa kwa matumizi