mtongoze.. acha roho mbaya wewe umewekwa bado unataka kuleta shida .
Nawachukia sana watu wanaoingia ofisini kwa migongo ya ndugu zao badala ya vigezo. Umekosa aibu hata unajisema mbele za watu. Kwa hiyo kwa kuwa kaka yako ni meneje pale ulitaka sekretari akupokee na mabusu?!
Shame on you.....CCM mkubwa we!
Acha kuwa na roho ya kisasi wewe,mtendee wema ili ubarikiwe kwenye kazi yako.Ukimfukuza na wewe utafukuzwa siku moja hivyo hivyo.
Mwneshe heshima,usiwe mtu wa mikogo na nyodo kama alivyokufanyia,taratibu endelea kumwelimisha taratibu nzuri za kazi, usimkumbushe kabisa alivyokufanyia atakua ana hofu kuwa utalipiza.Wakuu habarini humu,
Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.
Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.
Mwaonaje wakuu?
Wakuu habarini humu,
Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.
Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.
Mwaonaje wakuu?