Huyu dada nimfanye nini wadau?

Huyu dada nimfanye nini wadau?

Wakuu habarini humu,

Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.

Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu

Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.

Mwaonaje wakuu?

Ubaya haulipwi kwa ubaya bali kwa wema. Chukua hiyo itakusaidia.
 
fanya lililokupeleka hapo mkuu hizo nyodo mwachie apo app kama vp boy.... ahaaaaaa.......jiamini bhanaaa
 
we unahic nyodo zake!! Nyodo zake zimechangia kukosa kitu! Hapo kazini! Kama umepata kazi bas jaribu kusahau mabaya yote! Uliyokutana nayo mojawapo ni hilo!
 
Mm sina job si vibaya ukaniweka hapo mradi unilipe kwanzia 300000. Kuhusu huyo dada usimfukuze jamani, watu wanakosea! Usisahau kutafuta kanafasi kamoja unipm thank you.
 
Hujaelimika, isingekuwa nduguyo usingepata kazi mahala popote! Na hapo hauta dumu, ndorrrrrrobo weeee, watu wote wanakushangaaa,,, angalia sana, kuna MUNGU...
 
Kijana mbona unalialia?ulitaka akupokee kwa mabusu?akili yako bado ni ya kitoto sana
 
Kwa vile meneja ni kaka yako na wewe ni mdogo mtu itakuwa vyema ukimfukuza ili umlete dada yako muwe wote wanandugu. Hata huko nje mnaweza kumfukuza na mlinzi pia mkamchukua baba yenu toka kijiini akaja kuwalinda. Ni maoni tu
 
Wakuu habarini humu,

Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.

Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu

Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.

Mwaonaje wakuu?
Msamehe; achana nae, we umefuata kazi; fanya kazi kijana
 
Mmmmmh !hadi uitwe msomi unatakiwa uwe vyema, inaonekana hata chet huna umeletwa kama zigo maana msomi hawez fanya pumba kama hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom