babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,962
- 20,291
miafrika:A S shade:
Ukifukuza Utafukuzwa !!! (Law of the land)
Yani ofisi hata hujaizoea ushaanza makeke..angalia usije ukawa ww ndo wa kwanza kuondoka
mtongoze.. acha roho mbaya wewe umewekwa bado unataka kuleta shida .
Wakuu habarini humu,
Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.
Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.
Mwaonaje wakuu?
Wakuu habarini humu,
Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.
Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.
Mwaonaje wakuu?
We utakuwa CCM tu,si bure
Kazi yenyewe umepewa kwa kuzingatia undugulization
Nawachukia sana watu wanaoingia ofisini kwa migongo ya ndugu zao badala ya vigezo. Umekosa aibu hata unajisema mbele za watu. Kwa hiyo kwa kuwa kaka yako ni meneje pale ulitaka sekretari akupokee na mabusu?!
Shame on you.....CCM mkubwa we!
Ndio matokeo ya kazi za "kupewa" hizi
Badala ya kuwaza afanye kazi kakalia visasi
Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.
Mwaonaje wakuu?
Wakuu habarini humu,
Kama wiki mbili zimepita kuna ofisi moja maarufu sana hapa Mji wa Mawe aka Roku city,kuna Brother wangu ambae hapo ni Meneja sasa nikafika kwa ajili ya Interview ila Secretary hakunipokea vizuri na hata aliponiuliza kama nafuatilia kazi sikumjibu ukweli nikamwambia ni mambo binafsi.
Sasa nashukuru nimepata hyo nafasi na bahati nzuri namimi nimepewa cheo,ambapo huy dada anakuwa chini yangu
Hiv najiuliza sijui nimfukuzishe kazi maana alinipokea kwa nyodo sana.
Mwaonaje wakuu?