Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

Huyu dada Monica Michael ni Tapeli kuweni makini

Mara nyingi ukitaka kununua bidhaa online either huyo mtu umjue...vinginevyo bora utoe sadaka tu...Mara nyingi kwa hapa tz
 
Kumbe malalamiko kuwa hali pesa ni ngumu uraiani siyo kwa watu wote ni baadhi tu.

Watu wana pesa za kuchezea tu online 'patapotea'

Utapeli wa kawaida tu huo kwa ktk mitandao kwa wenye tamaa,wewe umeona mapaja nje ukaona ni rahisi rahisi hatimaye umetapeliwa.

Arusha Maduka ya viatu vya michezo yapo mengi tu tena mazuri,vitu vingine tunavitafuta wenyewe.
 
Mitandaoni wanalizwa wengi tu. Mie bora nibaki analogy ila kununua bidhaa mtandaoni labda iwe kampuni inayoaminika
 
Mkuu sidhani kama nikiagiza kitu online pia nahitaji kukagua. Kuna watu wanafanya biashara kwa uaminifu. Labda huyu mtu anawachanganya watu kwa sababu ya mapicha fake yenye mvuto. Ila hata kama huwezi kukagua ni rahisi sana kugundua kama mtu anakuibia.

Kuibiwa ni ujinga wako mwenyewe.
Ukitaka kununua kitu sharti ukakague bidhaa kabla ya kutoa hela.
 
Kumbe malalamiko kuwa hali pesa ni ngumu uraiani siyo kwa watu wote ni baadhi tu.

Watu wana pesa za kuchezea tu online 'patapotea'

Utapeli wa kawaida tu huo kwa ktk mitandao kwa wenye tamaa,wewe umeona mapaja nje ukaona ni rahisi rahisi hatimaye umetapeliwa.

Arusha Maduka ya viatu vya michezo yapo mengi tu tena mazuri,vitu vingine tunavitafuta wenyewe.

Hayo ni maneno tu mkuu, hata kwenye kanga yapo, ebu nielekeze hayo maduka hapa arusha
 
Huyu mtu yuko dunia ya ngap jmn had unaibiwa!! Those are scammers na wako wengi kwa mitandao na pengine ni dume we unahis mwanamke kwani hujui kuna wanaume wanaigiza sauti za kike na huamin kama ni dume lol pole kaka b careful wit social netwks!!!!

Nipo dunia hii uliyopo wewe
 
Asante kwa taarifa mdau tutachukua tahadhari. Hebu tudondeshee maujanja anayo tumia kulaghai wateja wake..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom