Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,550
- 2,200
- Thread starter
- #41
Ha ha ha ha inategemea mkubwaAisee wewe si mzawa wa Arusha, watu wa A-city hawawezi tapeliwa kijinga hivyo. Pole sana Ngoja nisambaze kwa wengine
Ha ha ha ha inategemea mkubwaAisee wewe si mzawa wa Arusha, watu wa A-city hawawezi tapeliwa kijinga hivyo. Pole sana Ngoja nisambaze kwa wengine
Sasa kwa akili zako unafikiri iyo Picha ndo mwenyewe,siku zote Tapeli ni mtu aliyejianda na usikute ata shule ajahudhuria.Hebu ngoja nichukue namba za Monica za Whatsapp wakati wewe unalalamika umetapeliwa mimi nimeona fursa nyigine hapo kwenye picha yake aliyokaa
Ila pole mkuu ndio maisha
Ila kwa uandishi wake hiyo University of Dar es Salaam atakuwa amesomea ya Mkuranga kama ipo sio Mlimani tunayoijua
Nimeshakoma mkubwaPole mkuu....nakumbuka weeks kadhaa uliletwa uzi hapa member mmoja ametapeliwa chapaa ametuma akiahidiwa atatumiwa TV. Ushauri ulitolewa usinunue bidhaa mtandaoni bila kujirishisha. Mkuu wewe kwanini ulikurupuka? Hiyo raba uliiona nzuri sana ukashindwa kung'amua utapeli mwingi kwenye mitandao? Sasa utakuwa umetia akili hutofanya tena kosa kama hili.
Ndio maana nimetapeliwaSasa kwa akili zako unafikiri iyo Picha ndo mwenyewe,siku zote Tapeli ni mtu aliyejianda na usikute ata shule ajahudhuria.
Hakika Mungu katutofautisha sana. Sijui mnapataga wapi Ujasiri wa Kutuma fedha bila kupata Mzigo. Sijajua kwa kweli mtu unaanzaje.
Labda online kwa trusted sources.
Mmmh!Kuibiwa ni ujinga wako mwenyewe.
Ukitaka kununua kitu sharti ukakague bidhaa kabla ya kutoa hela.
Ha ha ha bahati mbaya tu, ila hope hata wewe ulishawai kulizwaMkuu kuna wengine wao ' naturally ' ni Watu tu wa kuibiwa ibiwa kila mara hata kama utawapa ' ulinzi ' wa ' Roho Mtakatifu ' au wa ' Kalumanzira '. Acha Dada Monica ' awanyooshe ' ili ' wachangamke '.
Yaani huwa nashangaa why mnakubali kirahisi kununua vitu toka mtandaoni???
Mmmh!
Mwenendo wa kizamani sana huu ukilinganishwa na zama za mitandao tuliyopo sasa. Especially kama una maanaisha physical check. Kwa mfano, wanunua magati yaliyotumika kutoka ktk nchi za Ualaya na Asia sinauhakika kama wanatumia hilo wazo lako kama kukagua una maanisha phyisical check kaka!
Shukrani mkuuNimeshaifaham njia kwa sasa, tuanawajuza wengine ambao walikuwa hawajui
Ata Mimi niliona tangazo la bidhaa za NGUO na VIATU vya wanaume. Nikasema ngoja nimtest kma ni tapeli au laah.ukimpigia simu hapokei yy Anataka mchart kwa msg tu,nikimuuliza DUKA liko wapi nije nikague mzigo anapiga chenga Anataka nimtumie ela ndipo atume mzigo nikajua huu utapeli nikatemana nae
Kulingana na hizo screen shot,hivi mkuu simu yako ni laini mbili eeh?
Hiyo lugha ya 'my' imetokea wapi?? Vijana bwana, hamuishi kunishangaza. Eti ''nitakucall my'', ''Morning my''!! Sasa ndio nini?
Hili nalo ni nenoKuibiwa ni ujinga wako mwenyewe.
Ukitaka kununua kitu sharti ukakague bidhaa kabla ya kutoa hela.
Wewe hata luku kwa njia ya mtandao au vocha hujawai nunuaHivi unawezaje kufanya biashara na mtu ambaye humjui tena mbongo eti kwa kutumia mtandao?