Marcostilone
JF-Expert Member
- Jun 25, 2023
- 6,510
- 15,990
Uko sahihi sana hapa, partnership ninayo izungumzia mimi siyo hii ya kugawana kila senti pasu kwa pasu (50/50), bali ni ile resource optimization.Najaribu kufikiria hii concept nakosa jibu,
Maana inalenga usawa, ila in real life ni kuwa Fanya men wawe complacent kwenye mfumo usio imara...
Yaani hata kibaolojia hai make any sense.
Mwanamke imara ni yule mwenye nurturing qualities... Je ndo hawa wanaotaka na sisi Twende tu katafte ugali, na wao waende alaf yangu ije igawanwe pasu huku yake ikenda mfukoni?
We should start with things like that first uone kama hao wanawake imara watakubali
Mwanaume yeyote mwenye akili hawezi kukubali mfumo wa aina hiyo ambao yeye anavuja jasho na mwenzake anachopata anahifadhi chake pembeni.
Mwanamke ninayemzungumzia mimi kwenye partnership ni yule anayechangia kwenye family wealth, kama anataka usawa, usawa uanzie kwenye kugawana mzigo wa majukumu ya nyumbani kulingana na uwezo wa kila mmoja, ukiona hataki hilo huyo siyo partner.
Mwanaume usikubali kuingia kwenye mtego wa complacency kama hataki kuchangia, hiyo inaku-qualify wewe kuwa na full control ya maamuzi ya kifedha.
Hauwezi kuleta usawa kwenye haki, halafu ukaacha usawa kwenye wajibu.