Mo graphics 2019
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,002
- 1,453
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Bora huko.
Huku Mbeya ndio alianza kuweka yaani hata akikukuta umesimama anakubandika kichwani.
Ulipoandika huyu "muhindi" umenikwaza sana.Ungeandika tu huyu mtu aliyebandika matangazo usiyoyapenda ingetosha.Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Jamani...!Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari Inauzwa Tshs Ngapi? MKUUMkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama yule mtia Nia ya urahisi mwaka ule... Rais wa mawe na madaraja !!huyo jamaa ametumia gharama kubwa kweli kwenye matangazo hayo....ila namna ya utangazaji wake ni uchafunzi wa mazingira..
Jiji zima amechafua makaratasi yake kila kona.Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Mkuu kama kafanya uchafuzi kwenye ukuta wako ni halali ulalamike lakini kama ni kuta za watu nadhani punguza kisabengo.Umeona uchafuzi alioufanya..kwenye madaraja na Kuta za watu?
Dah. Hii kweli ni vurugu na siyo ustaarabu.Mbezi mwisho View attachment 1943653
aisee!!Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka kwenye magari yamebandikwa.Mkuu ungekuwa na gari hayo yote yasingekusumbua kuzurura na miguu kushangaa mabango
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mbona mabango yote ni ya Wagalatia tu? Hivi hakuna wadau kutoka Afghanistan, Somalia, Syria, Iraqi, Saudia, Oman, nk na wenyewe kuja kulianzisha huku Bongo?Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar
Acha chuki za udini.mbona vyama wakati wa kampeni vinabandika na hakuna uzi unafungua.Matangazo yametapakaa Dar kuanzia kwenye nguzo za umeme, madaraja..mitaro n.k
Anapaswa kushughulikiwa na kuamriwa kusafisha miundombinu aliyoichafua.
=========
View attachment 1943336
View attachment 1943337
Uzio wa Yapi Merkez, eneo la Raha Leo-Dar