Wananchi mda wote ni watu wa kuongozwa na kukumbushwa maadili ya mtanzania Je? Ni lini Mara ya mwisho umemsikia Waziri akiwakumbusha wananchi juu ya hayo? Swali anawaogopa? au yupo busy na katiba mpya au yupo busy akiwaza bajet na uchaguzi mwakani?mtu anaevaa nusu uchi hajitambui na hajui kuvaa kulingana na eneo husika beach ukivaa charanga watakushangaa na kariakoo ukivaa kikaptula katikati ya mapaja utavuliwa kweupe muhimu ni kujua wapi uvae nini basiiii