Mlalahoi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2006
- 2,182
- 883
Yah lakini kinachonifurahisha zaidi na Dr Slaa ni kushindwa uzalendo na huo upadri...je mnajua wakati alipokuwa Padri aliamua kumweka mwanamke kinyumba?
safi sana...ukisikia mtu rijali ndio huko
Nani alokwambia kuwa padri ni uzalendo?Kwa sie wakatoliki,upadre unahitaji wito.Kipi kingekufurahisha kati ya haya mawili:Slaa kuendelea na upadre ilhali dhamira yake inamsuta kuhusu "wito" wake au kuamua kuwa mkweli katika dhamira yake kwa kuachana na daraja la upadre na kuishi maisha ya kawaida?