Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Upiganaji wake hauwezi kupimwa na maswali yakuhusu maisha yake miaka 30 iliyopita, ila kwa maswali yanayohusu kilichomfanya awe shujaa wa taifa, ni maswali kuhusu ufisadi,
Wewe ya kwako binafsi unaweza kuyajibu hapa? Na usipoyajibu utakuwa what? I mean hatuijaishiwa hoja za taifa hapa JF,
Dr. slaa ni member kama wengine wote hapa kama inabidi awekwe kiti moto kuhusu maihsa yake ya binafsi basi itakuwa vyema wale wanayoyataka wakaanza kutuambia ya kwao kwanza tuone jinsi walivyo malaika, maana tunawajua karibu wote na maisha yenu suspect, haya anzeni sasa!
sidhani kama kuna tatizo hapa
Keshakuwa public figure ambaye pia alikuwa ni kiongozi wa kidini sasa whats the big deal watu wakitaka kujua maisha yake binafsi? Kama anakaa kwenye bunge kutunga sheria zinazowaathiri watu wakawaida na maishayao iweye eyey awe off limits?
Yaani iwe sawa JK kusemwa na private life ake lakini SLAA akisemwa ishakuwa nongwa?
acha hizo unakuwa kama jamaa wa Minnesota bwana