Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,441
Nimeshangaa kidogo.Kwahiyo kwa point hiyo tu,tayari Samia ni Rais mnayemkubali sasa sio??[emoji848]
Nimeshangaa kidogo.Kwahiyo kwa point hiyo tu,tayari Samia ni Rais mnayemkubali sasa sio??[emoji848]
Hakuna hata mradi mmoja unaopigwa chini, hawa ni watu waliofeli maisha.. miradi mingine mingi zaidi itaanzishwa kwa ajili ya Legacy yake pia.
Huku tunadai umeme vijijini na viwanxani tena umeme wa gharama nafuu. Halafu NHP tunapiga vitaSgr(tunataka tuendelee kupiga hela watu tunaomiliki mabasi), mradi wa umeme(tunataka tuendelee kuuza majenereta)....etc
aisee! umejitahidi kuwaza!Nadhan huyu labda anajijua hajamfanyia mtu yoyote yule baya hivyo hana haja ya kujilinda sana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
Leo lilikuepo paleuwanjani[emoji3][emoji3][emoji3]Subiri uone baada ya Msiba! Unadhani yale magari ya signal jam, watayapeleka wapi??
Hapo kwa mama hata vikongwe nawaona aisee. [emoji3][emoji3][emoji2]Wa JPM walikuwa wamekaa kikazi sanaa..
Ninayo toka anasoma pale RugambwaNawe unataka?
Ulinzi mkuu ni Mungu ndiye anayemlinda Mama YetuRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
Kwani hapo ni ikulu?Ndio kwanza hana hata wiki 2 utadhani ushamuona akiwa mtaani.
Huyo pisikali tumemzoeaKama vigogo gani wala rushwa aliokuwa anapambana nao?
Sawa pisikali ya matagaWakina lowassa
Tunamkubali ila ipo Shaka kuwa genge lililobaki la mtangulizi wake likamwongoza na matarajio ya wengi yakafia hapoKwahiyo kwa point hiyo tu,tayari Samia ni Rais mnayemkubali sasa sio??[emoji848]
Mabadiriko yatatokea pale atakapofanya yasiyotegemewa na wananchiTatizo moja la sisi huwa ni hivi mwanzoni watakupa kila aina ya sifa mpaka vitu vya kawaida kama hivyo ila muda ukifika wanavyobadilika huwezi amini.
Wewe ni mjinga Lowasa mwanaye si kapewa ubungeWakina lowassa
KweliRais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.
Maisha mafupi haya jamani, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda.
Hakuna mabunduki kivipi?Ni dalili nzuri. Hakuna mabunduki kama yuko vitani.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
Kama ulivyopigwa chini kwa ukumbembe wako siyo?Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.
Maisha mafupi haya jamani, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda.