Safari yako ya kujifunza tabia ya mwanadamu haijafika hata nusu. Kwa taarifa yako, hata spiritual leaders (pope, cardinals, etc.) hushambuliwa; huhitaji kuwa mbaya hapa duniani kushambuliwa!
Kuna assassins ambao wanakuwa hawajatumwa na mtu yeyote. Wanafanya hivyo kwa chuki zao binafsi, na wengine ni bipolar cases. In most cases, hawa wanakuwa lone actors. Martin Luther King, Jr. na assassinated presidents wa Marekani wengi waliua na watu wa aina hii. Kwa kawaida, hakuna intel radar inayoweza kubaini mipango yao, kwa sababu hawahusishi watu wengine.
Wenye comprehensive plan ya kushambulia ambayo inahusisha watu wengi huwa hawafanikiwi. Mwisho wa siku wanaishia kudakwa kama kuku na mpango wao kushindwa kwa kishindo!