Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Ewaaaaaaaa! Kula Like yenye font 100
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
 
Wamekosa hoja kabisa inaingia akilini mtu anatoka from nowhare anataka SGR ife S.Gorge ife Salenda bridge ife anataka pesa zirundi kwenye akaunti za mabwana zake Uswisi
kuna watu hawana vision kwenye Maisha na hawajui wanataka nini. Hovyo kabisa huyo jamaa.
 
Mkuu hata mama Samia anao huo ulinzi hapa tutabishana bure tu ila wao ndo wanapanga hatujui ya sirini kwao mpk wafanye hivyo ila mi nachojua kadri muda unavyozidi kwenda lazima ulinzi wa rais uongezeke na pia unakuwa hivyo kutegemeana na maeneo na situation vipo vingi tu. Nawashangaa nyinyi mnaoushangaa ulinzi wa rais kuwa hivyo sema hamfatilii wakati hata kwa Samia hao jamaa wapo! .. hapa tutabishana bure tu..[emoji28]

Lazma wawepo pale inapobidi, sio kama mtangulizi wake
 
Back
Top Bottom