Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].


Safari yako ya kujifunza tabia ya mwanadamu haijafika hata nusu. Kwa taarifa yako, hata spiritual leaders (pope, cardinals, etc.) hushambuliwa; huhitaji kuwa mbaya hapa duniani kushambuliwa!

Kuna assassins ambao wanakuwa hawajatumwa na mtu yeyote. Wanafanya hivyo kwa chuki zao binafsi, na wengine ni bipolar cases. In most cases, hawa wanakuwa lone actors. Martin Luther King, Jr. na assassinated presidents wa Marekani wengi waliua na watu wa aina hii. Kwa kawaida, hakuna intel radar inayoweza kubaini mipango yao, kwa sababu hawahusishi watu wengine.

Wenye comprehensive plan ya kushambulia ambayo inahusisha watu wengi huwa hawafanikiwi. Mwisho wa siku wanaishia kudakwa kama kuku na mpango wao kushindwa kwa kishindo!
 
Aongeze vipi mzunguko wa pesa mtaani? Apige chini miradi gani? Akishapiga chini hyo miradi na kuongeza mishahara nchi itaongezaje mapato? Elimu bure itaweza kugharamiwa? Afungue uhusiano upi wa kimataifa ambao mwanzo ulifungwa? Au unamaanisha aende ulaya akaombe msaada?

Yaani aache projects za umeme? Reli? Au unamaanisha projects gani? Ni shule gani mnaenda kusoma? China, USA,nk zilifika uchumi wa juu kwa kuongeza mishahara na kuacha major projects? Niliambiwa JF kuna great thinkers, ndio nyie?


Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Aache kabisa kutenga Kapesa mengi kwenye mamiradi liability kama sgr ,huo ukamilike 2030.

Aelekeze nguvu kubwa kwenye barabara , huduma za jamii na kulinda rasilimali ikiwemo kuhimiza uwajibikaji na kupambana na wapigaji
 
Akibadilika na watu lazima wabadilie.
Tunatembea na beat
Tatizo moja la sisi huwa ni hivi mwanzoni watakupa kila aina ya sifa mpaka vitu vya kawaida kama hivyo ila muda ukifika wanavyobadilika huwezi amini.
 
IMG-20210326-WA0049.jpg
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].

Sasa ulinzi wa Rais una wahusu nini? Mbona mijitu ya humu ina viherehere sana....
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].

Namuona first gentlemen hapo
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].

Hiyo Pisi kama msomali yenye ushungi ni PSU?
 
Imetulia.
Hakuna mbwembwe za kijeshi za mabunduki tulizozizoea kwa Magufuli.
Bila shaka mabunduki umeyaona kama kawaida. Ni lile gari letu lipo. Unadhani magufuli alioenda au PSU walipanga kulingana na Magu kuwa na maadui wengi?
 
Ila kweli maisha mafupi haya kwann tujiteseeeee...
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya jamani, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda.
Binadamu ni wanafiki usipime. Leo yamekuwa haya.
 
Back
Top Bottom