Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Mwalimu alishawahi kusema mkiona Kiongozi amezungukwa na Mabunduki basi mjue mnaibiwa
Mkuu haya mambo huwa hayana kanuni mfano mdogo kwa Afrika rejea kwa Capt. T Sankara alivyoishi na watu ila miongoni mwao hao hao wakamfanya nini.

Pia nakumbuka kulikuwa Rais wa Sweden kama sikosei naye alijiamini akaondoa ulinzi wake kwa madai anakubalika ila final kilichotokea ni majonzi.

Kwahiyo kwendana na uhalisia wa kazi husika ni lazima upate mlengo wa kushoto tena wanaojiweza hasa siyo wakaa vijiweni na story za kudanganyana ndiyo hupelekea watu kuunda kuta kama hizo.
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Kama mradi upi unatakiwa kupigwa chini?
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Duuh...! Kuna watu mmebarikiwa mnajua kupangilia maneno. Umeongea kifupi lakini umeongea kila point ipo hapo,umeongea maneno ya kutosheleza miaka 5 mbele
 
Ningependa uitaje miradi unayodhani inatakiwa kupigwa chini kama unavyosema,,
Hakuna hata mradi mmoja unaopigwa chini, hawa ni watu waliofeli maisha.. miradi mingine mingi zaidi itaanzishwa kwa ajili ya Legacy yake pia.
 
Back
Top Bottom