Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Aongeze vipi mzunguko wa pesa mtaani? Apige chini miradi gani? Akishapiga chini hyo miradi na kuongeza mishahara nchi itaongezaje mapato? Elimu bure itaweza kugharamiwa? Afungue uhusiano upi wa kimataifa ambao mwanzo ulifungwa? Au unamaanisha aende ulaya akaombe msaada?

Yaani aache projects za umeme? Reli? Au unamaanisha projects gani? Ni shule gani mnaenda kusoma? China, USA,nk zilifika uchumi wa juu kwa kuongeza mishahara na kuacha major projects? Niliambiwa JF kuna great thinkers, ndio nyie?


Sent from my Android using JamiiForums mobile app
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].

Ni mapema Sana. Ulinzi wa Rais huendana na Kasi ya Kazi anazo fanya.

Akitaka akae bila ulinzi afanye Kazi zake Binafsi pale ikulu. Kwa Sasa ulinzi wake ni simple kwa sababu hajaanza majukumu yenye kumpa maadui kisha kuongezewa ulinzi.
 
Mradi wa mandege ya air Tanzania. Huko pesa za walipakodi zinapotea bure. Mabilioni ya shilingi yanatekea kutokana na hasara inayopatikana huko.. Mandege yamepaki tu. Hata yanayoruka ni hasara tupu. Biashara ya ndege huwa ni pasua kichwa!
Uliwahi kuifanya?
 
Tufananishe na watangulizi

View attachment 1734791
Hayo ni matukio mawili tofauti, tukio moja ni kiongozi mkuu wa nchi anapigakura katika eneo maalum lililoandaliwa. Tukio la pili ni kiongozi akiwa katika ziara na kusimama barabarani katika eneo ambalo halikuandaliwa. Umesahau Enzi za Mwalimu tulimsubiria barabarani kutwa mzima.
 
Nyie pimbi ulinzi wa Rais inategemea na yupo eneo gani hao wa kushika bunduki hata samia anao acheni kujidanganya ati upo smart mara nini! Kiujumla ulinzi wa Rais unaprotokali zake kama huyu atakuwa si mtu wa misafara sana basi hata ile safu ya wenye mabunduki hamtaiona Sana lkn ile safu ipo na inakazi yake acheni kubwabwaja tu.
Haya twambie yule mpambe wa Rais ilikuwa ni sahihi kucheka wakati Mzee Mwinyi akihutubia.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].

ulinzi wa makomandoo kwa jpm ulitokana na kuwadhibiti matajir na wauza madawa ya kulevya na utumbuaji. Akiwa wazir tu aliwekewa sumu sembuse urais.Hata Samia akianza kutumbua vigogo na kuwadhibiti vibopa, ulinz utajitokeza automatically tu.
 
Rais yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
mkuu...miradi ya kupiga chini ni ipi hiyo?
 
Back
Top Bottom