Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Eti kuna viwanda 8000 walijenga Mwijage na Magufuli. Dah wale watu walitudharau sana watanzania.
 
Hiyo ya Nyerere ya zamani sawa , na hiyo ya chini ina uzamani gani ?
Mkuu hata mama Samia anao huo ulinzi hapa tutabishana bure tu ila wao ndo wanapanga hatujui ya sirini kwao mpk wafanye hivyo ila mi nachojua kadri muda unavyozidi kwenda lazima ulinzi wa rais uongezeke na pia unakuwa hivyo kutegemeana na maeneo na situation vipo vingi tu. Nawashangaa nyinyi mnaoushangaa ulinzi wa rais kuwa hivyo sema hamfatilii wakati hata kwa Samia hao jamaa wapo! .. hapa tutabishana bure tu..😅
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Gombea chandimu wakupe kura ufanye hayo! CCM ileile, mama Samia lazima akaze zaidi muendelee kunyooka!
 
Kwamba Rais yuko kanisani na watu wa mabunduki?? Au yupo msibani na watu wa mabunduki?
Ulinzi inategemea muhusika yuko eneo gani.
 
Nyie pimbi ulinzi wa rais inategemea na yupo eneo gani hao wa kushika bunduki hata samia anao acheni kujidanganya ati upo smart mara nini! Kiujumla ulinzi wa rais unaprotokali zake kama huyu atakuwa si mtu wa misafara sana basi hata ile safu ya wenye mabunduki hamtaiona Sana lkn ile safu ipo na inakazi yake acheni kubwabwaja tu.
Mabunduki siyo lazima kuonekana hadharani! Walinzi wa wenzetu wanayo fire power ya kikosi kizima - Arsenal nzima imejificha.
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda
Fisadi utamjua tu!! Miradi yote iko kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM. Wananchi waliiweka madarakani serikali kwa mujibu wa ushawishi wa ilani ya uchaguzi. Rais Magufuli alikuwa hatekelezi mradi wowote nje ya ilani ya uchaguzi. Kutokutekeleza ilani ya uchaguzi ni utapeli. Mawazo yako ni ya kitapeli na hayana nafasi ya kusikilizwa!!
 
Mkuu hata mama Samia anao huo ulinzi hapa tutabishana bure tu ila wao ndo wanapanga hatujui ya sirini kwao mpk wafanye hivyo ila mi nachojua kadri muda unavyozidi kwenda lazima ulinzi wa rais uongezeke na pia unakuwa hivyo kutegemeana na maeneo na situation vipo vingi tu. Nawashangaa nyinyi mnaoushangaa ulinzi wa rais kuwa hivyo sema hamfatilii wakati hata kwa Samia hao jamaa wapo! .. hapa tutabishana bure tu..[emoji28]
Wengine tushaambiwa tuna IQ hafifu watu wanachukulia rahisi mno hivyo vitu dunia ya leo hakuna CiC mwenye ukuta mwepesi.
 
Nadhan huyu labda anajijua hajamfanyia mtu yoyote yule baya hivyo hana haja ya kujilinda sana
 
Mabunduki siyo lazima kuonekana hadharani! Walinzi wa wenzetu wanayo fire power ya kikosi kizima - Arsenal nzima imejificha.
Ha ha! Mkuu Kuna uzi humu was walinzi wa viongozi fatilia utayaona hayo mabunduki si kila muda lazima wafiche hata wakati wa magu sio kila muda hao jamaa walikuwepo... Mbona hili swala mnataka kulifanya Kama kufuru!! Nyie mnataka mfanane na kina amerika wakati ubavu huo haupo kwa sasa..😅

Mkuu tufanye yanayotuhusu haya mengine tuwaachie wanaojua.
 
Back
Top Bottom