Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Huu ndio Ulinzi wa Rais Samia Suluhu

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
26,534
Reaction score
61,964
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.

Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].

Adjustments.jpg
 
Rais yupo smart Sana huyu Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana, kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho, na aongeze mzunguko wa pesa mtaani, fungua uhusiano wa kimataifa, ajiri watu, ongezea mishahara.

Maisha mafupi haya jamani, mwisho tufe tunasubiriaga Tanzania hewa ya viwanda.
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena
Ila kweli maisha mafupi haya kwann tujiteseeeee...
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena

Huyu Mama naona atafanya vizuri sana kuliko mtangulizi wake
 
Raisi yupo smart Sana huyu , Ila mtangulizi wake kamuachia mzigo mzito Sana , kuna miradi hapo ni ya kupiga chini bila kupepesa macho , na aongeze mzunguko wa pesa mtaani , fungua uhusiano wa kimataifa ,ajiri watu , ongezea mishahara ...... Maisha mafupi haya bhana sio tuanze kutishana tishana tena
Ningependa uitaje miradi unayodhani inatakiwa kupigwa chini kama unavyosema
 
Ningependa uitaje miradi unayodhani inatakiwa kupigwa chini kama unavyosema,,
Mradi wa mandege ya air Tanzania. Huko pesa za walipakodi zinapotea bure. Mabilioni ya shilingi yanatekea kutokana na hasara inayopatikana huko.. Mandege yamepaki tu. Hata yanayoruka ni hasara tupu. Biashara ya ndege huwa ni pasua kichwa!
 
Back
Top Bottom