Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,664
- 8,278
Hawa Sio Wote ni Walinzi Wa Rais Kuna wengine ni Wasaidizi Binafsi wa Ofisi Ya Rais-Ikulu (OBR)Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani hakuna mbwembwe nyingi. PSU ya Rais Samia naipa kongole kubwa[emoji91].
Sent using Jamii Forums mobile app