Uliouona TZ........
Kisukuma tunaita mbono.
Makale kale ni tofauti na huu....makale kale yanaitwa Mbono kaburiwasukuma tunaita MAKALEKALE
Mnyonyo au ikale kwa kisukumaNaomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
View attachment 252429View attachment 252430
.......Naomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
View attachment 252429View attachment 252430
Habari za huko saud Arabia mkuu, vipi jamal amepatikana???Okay nliwahi kuona mti kama huu Tz sasa sikuwa na uhakika ni wenyewe au unafanana tu
Shukraan sana
Hii Ricin ndio ile sumu inayotumika kuuwa.......
........Castor oil plant mbarika mbono myonyo
Ricinus communis
Huu mti una majina mengi kama yalivyotajwa hapo na wadau.Huku kwetu tunauita Embarakit na tunatumia majani yake kama dawa ya kutibu/kuondoa tatizo la kukwama au kubaki kondo la nyuma (Retained placenta) kwa mifugo.Naomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
View attachment 252429View attachment 252430
Una nini kwani? Sisi kwetu tunaita imono yaani hizo mbegu zake. Mti wake tunauita ELIVONO. Moja ya kazi yake ni kupaka mafuta yake wakati wa kulima ili mikono isiharibike na ni dawa ya uzazi wa mpango. Pia huwa tunatumia kama mafuta ya kujipakaa pale tukosapo ya dukani.
naloli nkamutunaita mijembajemba
Hata kipara kinaotaMafuta yake ni Mazuri kwa hair growth.