Hakuna cha mnyonyo wala Mbarika. In short huo mti unaitwa IWONU. Sitaka maswaliNaomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
View attachment 252429View attachment 252430
Hakuna cha mnyonyo wala Mbarika. In short huo mti unaitwa IWONU. Sitaka maswali
Hata kipara kinaota
Hayau mseroMafuta yake tunatumia kutengenezea Colostrum hasa kama ndama amezaliwa mama yake akafa au akashindwa kunyonyesha. Wale wataalamu wa mifugo wenzangu tunajua hii kitu.
Naona kinanianza ingawa kimechelewa sanaEnhe .
Wasiwasi wako. Napima upepo mamaMbona umkali sana?.
Nikuto mndumii. Habari ya kaa?Hayau msero
Nangsha kabisa, habari ya kwafooNikuto mndumii. Habari ya kaa?
Nangisha aba. Uruka uu waalukana. Ngaishua kwete mndu mdomari ateka foo shomba lakini wakamuura weniNangsha kabisa, habari ya kwafoo
Naona kinanianza ingawa kimechelewa sana
Ngoja nipake ila harufu yake sasa
valibiria na akili samotu vandu va varile madaraka dovaaNangisha aba. Uruka uu waalukana. Ngaishua kwete mndu mdomari ateka foo shomba lakini wakamuura weni
Mbaru mleidima iiria besa sia waledua?
"Klambambuli"Naomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
View attachment 252429View attachment 252430
Sana sana tu.Mafuta yake ni Mazuri kwa hair growth.