- Thread starter
- #101
Kwa sababu gani? Harufu yake au?
Yes naichukia balaa
Kwa sababu gani? Harufu yake au?
Sio nimehamia ndio napendelea sana natural remedy
mzalia nyuma
Yes naichukia balaa
Hapana. Natokea Ikungulyabashashi mkoani Simiyu.
Mnyonyo
sio huu, mgaragara paka umekaa kama mfagio ujiMgaragara paka
Sisi ndo tunavouita. Mtunda au mwarobaini. Kwa hio farkhina nadhani kutumia kiunguja hapo
Tatizo la farkhina ni kunitafutia mimi visa. Huyu dada toka anifundishe kupika vikalmati vyake basi katokea tu kunichukia. Yaani nikisema kitu yeye lazima atanipinga tu. Sawa mimi mnyonge tu daima na hizo kalmati zake sizipiki tena.
Hahahaha jamani unanisingizia sikuchukuii bhana
Sawa, kusema ni rahisi ila vitendo vinasema na vina nguvu zaidi.
Huu ni mbarikaNyonyo ndo mbarika? Au ni vitu viwili Tofauti?
Mbarika kwa kiingereza ni castor au sio?
Kwetu ipoNaomba kwa anaefaham huu mti unaitwaje kwa kiswahili aniambie..
View attachment 252429View attachment 252430
Uliouona TZ........Okay nliwahi kuona mti kama huu Tz sasa sikuwa na uhakika ni wenyewe au unafanana tu
Shukraan sana