Balozi Humphrey Polepole ateuliwe Waziri wa Habari

Mudawote

JF-Expert Member
Jul 10, 2013
10,053
12,592
Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza.

Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
 
Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza.

Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
Wanatamani wampeleke hata sayari ya mars maana anawasumbua balaa.

Walidhani akienda cuba hatakuja tz lakini mwamba hakomi
 
Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
V80
 
Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza.

Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom