Mudawote
JF-Expert Member
- Jul 10, 2013
- 10,053
- 12,592
Great thinkers kama tunavyofahamu tukio la msiba mkubwa wa taifa wa Mh. Membe bado kama taifa tunaomboleza.
Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.
Ninashauri Rais Dkt Samia akitaka mambo yake ya 2025 yaende amteue Mh. Balozi Polepole kwa nafasi wa Waziri wa Habari. Werevu na hekima ya Polepole ni muhimu ktk kipindi hiki ambapo taifa linapitia kipindi kigumu cha watu kushangilia misiba ya viongozi wa kitaifa.