Anazo zote na za ziada!, na ndio maana uchaguzi wa 2020 tulimshauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi? Je, Mh. Tundu Lissu anazo sifa hizo?
Hakuna sifa kuu kwa kiongozi wa nchi kuwa nayo inayozidi UZALENDO kwa nchi yake.Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi? Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Mh. Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Sifa za kuwa rais anazo kikatiba, kitaaluma, kiwelwdi na kwa exposure aliyonayo atatufaa sana.Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Kwa uzalendo wa Tundu Lissu namtabiria ndiye Rais ajaye.Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Ukisema Sifa naona kwa Tanzania hilo neno sifa halipo hasa kwa sababu kwa katiba hii Rais lazima atoke CCM. Labda neno la kutumia ni hili, "Chance" ya kuwa Rais wa Tanzania. Lazima uwe CCM (katiba ya sasa), Makamo wa Rais(Rais akifa), Jaji Mkuu (katiba ya sasa), Mbunge, Waziri, ----- (descending----).Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Lisu hafai hata kuwa mwenyekiti wa kitongoji.Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Tundu Lissu anaweza akafanya kwa ufanisi kazi za kutumwa lakini siyo kuwa mwamuzi wa mwisho.Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Hata sifa tuu za kuwa Rais wa Chadema hana sembuse Tanzania?Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Mbowe ana utulivu wa akili na busara mara 100 ya Lissu. Tatizo la Mbowe ni biashara tu kwa raslimali za umma. Maana tunaona yanayotokea CDMHata sifa tuu za kuwa Rais wa Chadema hana sembuse Tanzania?
Ni zipi ipi (zipi) za ziada anazo TL?Kwanini hizo sifa aulizwe kuwa nazo Tundu Lissu, na wengine wote kasoro Mwalimu Nyerere wasiwe wameulizwa kama wanazo?
Hebu chukulia mfano wa huyu tuliye naye sasa, halafu nipe sifa hata moja tu ya kipekee inayomtambulisha kuwa na sifa za urais?
Kwa maoni yangu, Tundu Lissu anazo sifa kumzidi Mwinyi, Kikwete na ningesema hata Magufuli, isingekuwa uigizaji wa uzalendo aliojaribu kuuonyesha.
Kama Hangaya kaweza basi Lissu anaweza mara 1000Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
Kama form four failure anaweza kuwa rais basi Lissu ni above next levelRais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
hana sifa stahiki kwa nafasi hiyo maoni yangu na mtazamo wangu.Rais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?
TAL ni mwanaharakati na kwasababu hiyo hafai kuwa Rais wa nchi, anafaa kuwa labda Waziri Mkuu Ili awe na mtu anaye m moderate kwenye tabia yake ya uharakatiRais wa nchi yetu awe na sifa zipi?
Je, ni nani anazo sifa nyingi za kuwa Rais ajae? Je, Tundu Lissu anazo sifa hizo pia?