Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Nguvu nyingi zimeamishiwa kwa CHAUMA na CHADEMA, matokeo yake Project-Pindua 'Mama Tanzania' ikasahaulika.
Na JAJI naye (sijui kwakuwa aliona Mama Tanzania hana athari kwa sasa, Sijui hawakumpa Presha, Sijui kafanya kwa kuzingatia Misingi ya Taaluma yake), kampa Mshindi MBATIA.
Sasa hapa ni zaidi ya Ushindi, HUKUMU hii umeonyesha, Msajili wa VYAMA vya SIASA ambaye ni JAJI Kitaaluma, na Ofisi yake ikiwa imejaa wanaojiita wasomi wa Sheria, ni Muhuni na Ofisi imejaa wahuni!
Haiwezekan kabisa kabisa Ofisi ilojaa wasomi wa Sheria, washindwe kuyatambua Makosa yalifanyika , nao wakatia Baraka, hadi Leo JAJI aone maamuzi ya Wahuni wale wa NCCR pamoja na OFISI YA MSAJILI yalokua ni maamuzi ya Hovyo .
Unaweza pata picha hapa, KUNA MSAJILI KWELI AU MUHUNI MMOJA AFANYAYE KAZI KWA HISIA NA UBINAFSI WA TUMBO LAKE ??.
Na JAJI naye (sijui kwakuwa aliona Mama Tanzania hana athari kwa sasa, Sijui hawakumpa Presha, Sijui kafanya kwa kuzingatia Misingi ya Taaluma yake), kampa Mshindi MBATIA.
Sasa hapa ni zaidi ya Ushindi, HUKUMU hii umeonyesha, Msajili wa VYAMA vya SIASA ambaye ni JAJI Kitaaluma, na Ofisi yake ikiwa imejaa wanaojiita wasomi wa Sheria, ni Muhuni na Ofisi imejaa wahuni!
Haiwezekan kabisa kabisa Ofisi ilojaa wasomi wa Sheria, washindwe kuyatambua Makosa yalifanyika , nao wakatia Baraka, hadi Leo JAJI aone maamuzi ya Wahuni wale wa NCCR pamoja na OFISI YA MSAJILI yalokua ni maamuzi ya Hovyo .
Unaweza pata picha hapa, KUNA MSAJILI KWELI AU MUHUNI MMOJA AFANYAYE KAZI KWA HISIA NA UBINAFSI WA TUMBO LAKE ??.