Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,763
- 284,779
Kuna mtu alishitakiwa kwa kumkashifu JPM , wakadai huyo aliyekashifiwa ni Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli , lakini Tundu Lissu alipinga na kuuliza Mahakamani kama wanaweza kuthibitisha kwamba JPM ndio Magufuli , Je akiwa Magufuli ?
Mshitakiwa alishinda kesi na kuachiwa
Mshitakiwa alishinda kesi na kuachiwa