Hotuba kwa Wazee wa Dar: Rais Samia kuteua Viongozi bila kujali itikadi za Vyama

Rais Samia amesema kuanza sasa ataanza kuteua wachapakazi bila kujali itikadi ya kisiasa katika Serikali yake.

Amewataka watanzania kujiandaa kisaikolojia kupokea mabadiliko yatakayoleta Umoja wa Kitaifa.

Huko mbele katika kupanga safu za kujenga uchumi sitochagua, Mtanzania yeyote mwenye weledi na umahiri anayeweza kuleta manufaa kwa Taifa nitamuingiza afanye kazi, sitochagua huyu katoka Chama kipi yule katoka Chama gani lengo letu ni kujenga umoja wa Watanzania

Safi kabisa kama akina Mghwira, Silinde ,Katambi, Kitila Mkumbo etc.

NB. Mama usimwingize kabisa mzee wa miga mtetea ushoga Lisu
 
Sioni jipya hapa.

JPM aliwateua akina Kitila Mkumbo, David Kafulila,Wilbroad Slaa, Julius Mtatiro na Anna Mghwila wakiwa upinzani !
Si kweli. Waliunga juhudi kwanza, wenyewe kama wapo humu wanakuchora tu unavyowasingizia
 
Nilicheka sana aliposema jana au juzi, “Mnanitukana sana mitandaoni” halafu hakutoa vitisho vya kuwakamata watu. Akitulia huyu anaweza akafanya mambo makubwa sana kwa nchi yetu na akawa ni kioo cha uongozi si kwa Tanzania na Afrika tu bali dunia nzima.
Mama anawatumia Critics wa Mitandao wenye mawazo chanya na itafika wakati (kama akienda vizuri) watu wenyevmawazo negative watapungua sana atabaki Cyprian Musiba aka Vero france ambae nae atapuuzwa tu.
 
Sioni jipya hapa.

JPM aliwateua akina Kitila Mkumbo, David Kafulila,Wilbroad Slaa, Julius Mtatiro na Anna Mghwila wakiwa upinzani !

..awateue na waendelee kuwa wapinzani.

..na uteuzi wao utakapokwisha warejee kwenye vyama vyao.
 
Mama nakuona kweli umedhamiria kuliunganisha taifa na kuleta maendeleo ya kweli. Nimesikiliza hotuba yako kwa wazee wa Dar es salaam nimeipenda mno, nakushauri kama itakupendeza muite Tundu Lissu na umteue awe mwanasheria mkuu wa serikali. Pia mimi niteue niwe CAG.
Tema mate chini ,hatutaki mwanasheria mkuu shoga
 
Itakuwa jambo la maana sana ikiwa itapatikana kabla ya 2025 na itokane na rasimu ya Tume ya Warioba. Kinyume cha hapo ni usanii tu.
Mkuu ameonyesha mwanzo mzuri ila naona ana mambo mengi na muda unabana lkn naamini katiba ipo njiani
 
Back
Top Bottom