pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,660
- 13,719
Mama Samia ni chaguo la Mungu, kama hutaki kukubali wewe sukuma gang kasage sumu unywe ufe uende zako jehenam.
Yap, ni Ili ujue uko kwenye platform tofauti na hizo ulizozea za kuogopana na kunyenyekeana.Unazunguka sana, kutoka mambo ya maandamano ukaja mambo ya marking scheme sasa hii upo unafundisha maana ya social media.
🤣🤣🤣Mataga ntaambia nini watu mimi
Na Mungu akasaidie hilo maana CCM sioni mtu wakutekeleza vipaumbele(ilani) ya chama kwa wananchi. Majembe kama kina Lema yanahitajika kuitekeleza ilani kwa wananchiNinavyoona tunaelekea kwenye Serikali ya Mseto
Aliutetea lini.Safi kabisa kama akina Mghwira, Silinde ,Katambi, Kitila Mkumbo etc.
NB. Mama usimwingize kabisa mzee wa miga mtetea ushoga Lisu
Mambo unayoyaongea hayapo na hayana uhusiano na mada, Haya majadiliano hayana maana.Yap, ni Ili ujue uko kwenye platform tofauti na hizo ulizozea za kuogopana na kunyenyekeana.
Mkuu nakubaliana nawe kwa yote. Nadhani ili jambo hili liwe bora ni lazima liwekwe kwenye KATIBA. KATIBA ya Zanzibar inakipengele kinacho itambulisha Nchi hiyo kuwa ni ya MSETO hivyo hatuna budi kipengele hicho kiwepo kwenye KATIBA, kwamba mshindi wa PILI kwenye UCHAGUZI MKUU atakuwemo katika Serikali na atatoa Makamu wa Kwanza Rais na Mawaziri n.k. bila kuathiri vyama vyao. Utaratibu huu utapunguza matumizi mabaya ya fedha hasa kwenye kuunga mkono juhudi, rushwa na vifo kwenye chaguzi, uhasana n.k. Ni wakati sasa wa kupanua democrasia katika kuendesha Serikali kwa maendeleo ya NCHI.Sioni jipya hapa.
JPM aliwateua akina Kitila Mkumbo, David Kafulila,Wilbroad Slaa, Julius Mtatiro na Anna Mghwila wakiwa upinzani ! Issue ni kuwa ukishateuliwa inabidi ukubali kutekeleza ilani ya CCM, na hapo ndipo ulipo ugumu kwa vyama vya upinzani; ni ugumu huo unaowalizimisha wateule kuhama vyama baada ya kuteuliwa.
Mkuu Imhotep, hao 19 wapo muhimili mwengine (Bunge), ni jukumu la BUNGE. Rais yeye ni muhimili mwengine wa SERIKALI na tatu ni MAHAKAMA. Hivyo si Serikali ama Mahakama ambaye anaweza kutatua suala la Covid19 katika hatua hiyo. Kwa sasa ni jukumu letu sisi WANAINCHI kulitafutia ufumbuzi wa kulitatua kwa kulipeleka Mahakamani ili Sheria ya HAKI ichukue mkondo wake. Kwa hali lilivyo sasa hivi sio suala Chama ni jukumu letu kuhoji usahihi wa matumizi ya KODI yetu. Tunahitaji mtu wa aina ya Mchugaji Mtikila.Ngoja nimpe ushauri mwingine Mama Samia
Wale Wachumba 19 wa Mtemi wa Wagogo kule Mjengoni Maayo ni Aibu do Something.
Ahhaa Binti vp bana njoo ule mema ya nchi...Mmeo umeshamuandalia chai? ndio uanze kututongoza wanaume
Kwa Nchi inayoheshimu na kufuata Katiba unayoyasema ni Sahihi ila kumbuka hao Cov19 wameingizwa kwa Shinikizo la Marehemu RaisiMkuu Imhotep, hao 19 wapo muhimili mwengine (Bunge), ni jukumu la BUNGE.
Hilo hawezi kukujibu mpaka siku Jiwe linafufuka kujibu mashtaka ya kutaka kumuua Tundu Lissu.Taja aliyeagiza polisi wanaolinda getini wasiwepo siku ya shambulizi. Ukijua aliyeagiza hilo umefunga ushahidi.
Haya maswali hutaweza kujibu mpaka siku magufuli anafufua kuja kujibu mashtaka ya kwanini alitaka kumuua Tundu Lissu.Kwanini usiweke ushahidi hapa kama kuna mtu aliagiza hayo?
Wajumbe asilimia zaidi ya 90 wanamuunga mkono mama. Hawa wachache ni lile kundi la mwendazake wakina Bashiru hata hivyo hawana nguvu. Bashiru mtoto mdogo sana pale CCM ndio maana hata wamempiga chini na hana la kufanya.Lakini pia akumbuke kuna "wajumbe" wa CCM, akiwazingua sasa hivi nao pia watamzingua 2025!
Yeye mwache ajifanye kuteua hao "upinzani" sisi Waswahili tunasema, "usimdharau Mamba kabla hujavuka mto".
Mmeo umeshamuandalia lunch, Mama usije ukaipoteza ndoa yako kwakututongoza wanaume mitandaoniAhhaa Binti vp bana njoo ule mema ya nchi...
I will handle you like a Quinn trust me
Kujaa ubinuke hahaa....Mmeo umeshamuandalia lunch, Mama usije ukaipoteza ndoa yako kwakututongoza wanaume mitandaoni
We dada Utaunguza chakula, Alafu nimeshakwambia we mke wa mtu sikuweziKujaa ubinuke hahaa....
Yeah nashangaa wanamuoma Sa100 kama masia, wakati sisiemu ni ileile tuHata Magu amefanya hivyo sana tu Kitila and Co
Alifafanua ya kuwa kwa wasiyotishia usalama wa Taifa. Kwani kwa kauli hiyo unadhani alikuwa akimsema nani!!Lisu ajiandae kurudi sasa aje awe mkuu wa wilaya
Dah! Shikamoo kakaYeye ndo alichangia katiba mpya isiwepo kipindi akiwa mwenyekiti msaidizi.
Tumshangilie tu.