Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Duuh. Aiseeee! Haya bana.

Ila nikwambie tu emmy hajawahi kutaka mazowea na wewe na hataki mazowea na wewe. Hivyo jitahidi kumuheshimu.

Usipende kumuharibia siku hakujui humjui.

Na leo sio mara ya kwanza sijui unataka nini aisee.
Kuna watu wanapenda sana kuzoea watu hovyo mpuuzie tu dada na pole mno ndio mambo ya jf
 
Kuna kupotea njia.....imooooooooooooooo!
Wengine hamkojoi mpaka mliwe tigo sasa wanaume watafanyaje? Aisee wewe unanifanya leo naongea uchafu!
Why not wakati ni sifa kukuridhisha
Acha kujidai hujui haya mambo wewe. Kuna wanawake tena wengi asiporukwa ukuta tendo halijakamilika na anamdharau huyo mwanaume.
Kama ndio starehe yako na mimi mpenzi wako anapenda kukuridhisha why not?
Uongo gani sasa? Nyinyi si ndio mna misemo yenu ya ajabu....eti nipeleke chooni, nikikwambia choo kile pale nenda unaenda kusimulia wenzio huko nilivyo mshamba!
Aiseeeee
 
cha ajabu nini? mbona miaka ya nyuma kufumua marinda ilitumika kama njia mojawapo ya kupanga uzazi wa mpango!
 
rrondo Mungu anakuona.kweli mwanamke aombe kufumuliwa rinda?
Ni kweli,kuna aliyeniomba nikakataa na kuanzia siku hiyo nikampa kibuti.

Ni kitendo kibaya,cha udhalilishaji na kinyume na Mungu.Japo sayansi ina justify kua kuna raha zaidi lakini siyo kitendo kizuri hata kidogo.
 
Dorrlyn hapa hakuna innocent ila mleta mada amejikuta anatuangushia mzigo wanaume...Hili jambo tunaligawana sawasawa....Hv unajua kuna wanawake hata kumtia dole la huko nyuma hataki na mnagombana?lkn kuna mwingine utapitisha dole ndiyo anavyozidi kukushawishi kuwa unachokifanya ni sawa.......!kwa hiyo mtu anaetakiwa kukataa ni mwanamke kwanza....sisi wanaume ni kama watoto tunajaribu kila kitu na huwa Tunakosa akili tunapokuwa katika jambo hilo......

Wapo wanaokataa Na wanaishia kubakwa Na ukiona anakubali jua kuna mwanaume mwenzako alishamuharibu.
 
Huu ni mtandao wa jamii na kazi yake ni kuelimisha jamii.

Kuna hii tabia imeibuka ya ufanywaji mapenzi kinyume cha maumbile. Dunia imeharibika hii sio mchezo. Asilimia kubwa ya wanawake tulishapitia dhahama ya kuombwa huo mchezo na wengine wameshafanyishwa kabisa.

Najiuliza jamani haya mambo nyie wanaume mmejifunzia wapi? Yana raha gani mkiulizwa? Na msipofanya mtakuwaje?

Acheni kuwachezea watoto wa watu hao ndo mama na binti zenu wa kizazi kijacho

cc kwa serikali
Ombi kwa serikali yetu, kuna haja ya kufanya kampeni juu ya jambo hili, vijana wa kike na wa kiume wanapaswa kujulishwa madhara yake, wanapaswa wajitambue.
Kapicha kidogo ingependezaje
 
Leo unakataa kuruka ukuta ,kesho unatoa mimba ,kuna aliyemzidi mwenzie hapo?,wote ni motoni tu
 
Sasa kama mademu wanaomba wenyewe kusukumwa tope kusambazwa mbolea utakataa?? Watu tunakula tu mavi [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
*Naapa kwa Mwenyenzi Mungu Mtukufu Muumba mbingu na ardhi aliyeko juu mbinguni.
*Hakika wanaume na wanawake wanaofanya matendo ya namna hii mimi sipo pamoja nao kabisa.
*Nakuomba ewe Mwenyezi Mungu Mtukufu uniweke mbali na matendo ya namna hii mimi pamoja na kizazi changu chote.
*Uwape malipo wanayostahili watu wote wanawake na wanaume wanaofanya matendo haya siku ya kufa na kufufuliwa kwao.
Amen.
Duuu !!! Ngoja nikatubu
 
Tatizo bible ishatabiri,anyway tutokoneze tabia hii
 
Kuna watu wanapenda sana kuzoea watu hovyo mpuuzie tu dada na pole mno ndio mambo ya jf

Umeonaeee. Halafu tatizo lake analazimishia na kulazimisha huko analazimishia kwenye mambo ya kipumbav*

Pia nimeamua kumuweka kwenye lile kundi la wale wanaume ambao hawajakamilika sababu kwa mwanaume aliyekamilika hawezi kuanza kumfuata fuata mwanamke pasi sababu za msingi .

Na mazowea hayakatazwi ila tucheke kwa vitu vya msingi sio vile vya kipuuz*.

Nashukuru sana dadake. Ubarikiwe.

[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Back
Top Bottom