Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,557
- 45,868
Huu ni mtandao wa jamii na kazi yake ni kuelimisha jamii.
Kuna hii tabia imeibuka ya ufanywaji mapenzi kinyume cha maumbile. Dunia imeharibika hii sio mchezo. Asilimia kubwa ya wanawake tulishapitia dhahama ya kuombwa huo mchezo na wengine wameshafanyishwa kabisa.
Najiuliza jamani haya mambo nyie wanaume mmejifunzia wapi? Yana raha gani mkiulizwa? Na msipofanya mtakuwaje?
Acheni kuwachezea watoto wa watu hao ndo mama na binti zenu wa kizazi kijacho
cc kwa serikali
Ombi kwa serikali yetu, kuna haja ya kufanya kampeni juu ya jambo hili, vijana wa kike na wa kiume wanapaswa kujulishwa madhara yake, wanapaswa wajitambue.
Kuna hii tabia imeibuka ya ufanywaji mapenzi kinyume cha maumbile. Dunia imeharibika hii sio mchezo. Asilimia kubwa ya wanawake tulishapitia dhahama ya kuombwa huo mchezo na wengine wameshafanyishwa kabisa.
Najiuliza jamani haya mambo nyie wanaume mmejifunzia wapi? Yana raha gani mkiulizwa? Na msipofanya mtakuwaje?
Acheni kuwachezea watoto wa watu hao ndo mama na binti zenu wa kizazi kijacho
cc kwa serikali
Ombi kwa serikali yetu, kuna haja ya kufanya kampeni juu ya jambo hili, vijana wa kike na wa kiume wanapaswa kujulishwa madhara yake, wanapaswa wajitambue.