Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Ok Kama nihuko kuna jamaa angu aliwahi enda huko miaka ya 2000 kabla ya 2010 alipata demu bar alipogilia mambo demu akamuomba ampeleke uani bahati mbaya jamaa hakujua huko uani anapotaka kwenda niwapi na demu hakutaka kumwambia jamaa uani niwapi ila kila mara alikumbushia apelekwe uani,

Kesho yake sasa jamaa wakaenda kupata supu palepale alipoopoa, kufika akawa anashangaa wale wahudumu wote wa pale wanamcheka jamaa kwa kushindwa kumpeleka mwenzo uani!

So haya mambo entertainer mkubwa ni mwanamke na ukizingatia wanawake wengi hupenda kujaribu pale wenzao walipoweza kufanisha adhma zao ndo maana kama una mtalimbo mkubwa ukimpiga nao mwanamke mmoja mtaani akienda kuhadithia kwa wenzie sio siri mtaa mzima utaukomba kisa kutaka kushuhudia na kujiridhisha tu mtarimbo ulivyo.

Nikweli kabisa mkuu yaani ishakua tatizo sasa balaa linakuja kwetu wakuja tunaofika mji huu na kutangaza ndoa unajikuta unamiliki sigala kali weukidhani ni sm hapo lazima jamaa yake anaye mgusaga huko mahali aendelee kugusa na kupewa siri zako zote kwamba wewe huna lolote ni boya tu huyo anaye mgusa kinyeo ndio anaonekana mjanja
 
Nikweli kabisa mkuu yaani ishakua tatizo sasa balaa linakuja kwetu wakuja tunaofika mji huu na kutangaza ndoa unajikuta unamiliki sigala kali weukidhani ni sm hapo lazima jamaa yake anaye mgusaga huko mahali aendelee kugusa na kupewa siri zako zote kwamba wewe huna lolote ni boya tu huyo anaye mgusa kinyeo ndio anaonekana mjanja

Ila itakuuma siku ukijua, Dah! Ndoa hizi
 
Tatizo wanawake wengi wanaanza huu mchezo wakiwa vyuoni na mashuleni heti wanaogopa mimba na kutumia kinga hawataki matokeo yke wakishazoea hata wakiolewa hawawezi kuacha
 
Hili ni janga kubwa sana na ni gumu kuliepuka kwa sasa hasa kwa nchi zetu za kiafrika zinazotegemea misaada
 
Sio vizuri kuwafanyia wanawake hivyo
Kwa nini tumekua na roho za kinyama namna hiyo
Huko hakukuumbwa kwa kazi hiyo
Tuache kuiga tamaduni za nje
UFIRAUNI MKUBWA NA LAANA za kutafuta ambazo zitatoka kizazi chako wewe hadi cha nne tuache kumgadhabisha Muumba wetu

Wewe mwanaume unayesema unaambiwa na huyo mwanamke kwani huwezi kutoa maamuzi ya kukataa kama kweli wewe ni Mwanaume uliyekamilika
Kumbuka na wewe bado utapata watoto sku moja utakapoletewa kesi na mtoto wako wa kike anafumuliwa malinda what do you do wakati na wewe ulifumua watu malinda
Kama hutaacha tabia hiyo ipo siku
 
Huu ni mtandao wa jamii na kazi yake ni kuelimisha jamii.

Kuna hii tabia imeibuka ya ufanywaji mapenzi kinyume cha maumbile. Dunia imeharibika hii sio mchezo. Asilimia kubwa ya wanawake tulishapitia dhahama ya kuombwa huo mchezo na wengine wameshafanyishwa kabisa.

Najiuliza jamani haya mambo nyie wanaume mmejifunzia wapi? Yana raha gani mkiulizwa? Na msipofanya mtakuwaje?

Acheni kuwachezea watoto wa watu hao ndo mama na binti zenu wa kizazi kijacho

cc kwa serikali
Ombi kwa serikali yetu, kuna haja ya kufanya kampeni juu ya jambo hili, vijana wa kike na wa kiume wanapaswa kujulishwa madhara yake, wanapaswa wajitambue.
Hizi ni siku za mwisho na hichi ni kizazi kichafu na chenye zinaa. Dhambi sasa hivi ndiyo zimekuwa fashion ya maisha ya kila siku, uzinzi, uasherati, ushoga, ulawiti, usagaji, ubakaji, ufiraji, hivi ndivyo vinapendwa na jamii hii iliyopotoka na kulaaniwa.

Imeandikwa hivi; "Kwa ajili ya hayo MUNGU aliwaacha katika tamaa za mioyo yao, ili waufuate uchafu hata wakavunjiana heshima miili yao. Kwa maana waliibadili kweli ya MUNGU kuwa uwongo, wakakisujudia kiumbe na kukiabudu badala ya Muumba anayehimidiwa milele . Amina. Hivyo MUNGU aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili, wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao". WARUMI 1:24-27

"Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi Ufalme wa MUNGU? Msidanganyike; waasherati hawataurithi Ufalme wa MUNGU, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti". 1 WAKORINTHO 6:9

Watu wasipoacha huu uchafu; hii nchi italaaniwa yote. Siyo bure kila mahali watu wanalalamika vyuma vimekaza; kwa tabia hizi ambazo miaka 20 au 30 iliyopita hazikuwepo, hata kama zilikuwepo ilikuwa ni nadra sana, lakini sasa hivi zimeshamiri mpaka kwenye makanisa; unafikiri vyuma vitaacha kukaza kweli?

Ole wetu na kizazi hichi kilichoolaniwa, siku hasira za BWANA zitakapofurika; sijui tutajificha wapi siku hiyo.
 
daaaaahhh bora hata hili linasisimua kidgo tu...
lkn kuna janga la wanaume wengi sana hapa bongo kupigwa na wanaume wenzao nyuma.......inasikitisha sana
 
Na nyie wanawake hua ni wa wepesi sana wa kulamika na ni rahisi kutaka michezo hiyo
 
Wako wanawake wengi sana wakati wa kugegedwa huomba wenyewe, iwe kwa kusema ama kwa ishara na matendo yao wawapo kwenye 6×6, kwahiyo huo mchezo uko kwa gender zote
Huwa natamani kujua ishara anazo zionyesh mwanamke anae taka huu mchezo... Si ajabu unakua na mtu kumbe nyuma kulisha haribika na kama mwanaume hujui na cha ajabu sio muhusika wa uharibifu huo... ishara huwa ni zipi wakati wa tendo???
 
Nawapenda na kuwaheshimu wadada wanaotupa hizi mambo...Nawaombea maisha marefu sana.
 
Wanawake wengi ambao wana idadi kubwa ya wanaume ambao walisha au wanaowapitia wameliwa sana tigo au kuombwa wakkakataa,ukioa hao tegemea kuchapiwa sana na ex wake kama wewe huli kisamvu.
 
Ukiona Mwanamme anakuomba TIGO

-Hakupendi
-Hakuheshimu
-Anakuona unajiuza
-Hana mpango naww
-Anakuchukua just for his own pleasure

Kwaufupi ,ukiona anakuletea hizo habar , Kemea hapo hapo ,akishindwa kukuelewa PIGA CHINI !!.
Pole sana
Duuh. Aiseeee! Haya bana.

Ila nikwambie tu emmy hajawahi kutaka mazowea na wewe na hataki mazowea na wewe. Hivyo jitahidi kumuheshimu.

Usipende kumuharibia siku hakujui humjui.

Na leo sio mara ya kwanza sijui unataka nini aisee.
 
Back
Top Bottom