Son of Gamba
JF-Expert Member
- Oct 26, 2012
- 4,718
- 6,979
Mkuu, mfiraji na mfirwaji hawatauona Ufalme wa MUNGU kamwe kama hawatatubu na kuacha kabisa uchafu huu. Wanawake siyo kisingizio hata kidogo. Sisi wanaume pia wengi wetu tunapenda sana huo "ufirauni" na mara zote tumekuwa tukiona ni sifa kuwafanya wanawake kinyume na maumbile yao...Dada hili jambo usituangushie wanaume lawama...hili jambo linaratibiwa na wanawake kwa asilimia kubwa...na sisi ni utekelezaji tu.Hivi mwanamke ukiweka msimamo wa dhati hufanyi hicho kitu kuna mwanamme atakulazimisha?!..Udhaifu wenu wa kutaka kufurahisha mwanamme ndio unapelekea mnakutana na dhahama hizo....na kuna baadhi ya wanawake hawataki kabisa huko pa kawaida yaani wamepafanya pa ziada tu lkn kazi ipo nyuma na usipompa nyuma anakuona wewe Umetoka dunia isiyojulikana.....!na sisi wanaume hatusemi tu lkn tumekutana na vioja vingi mno
BABA MUNGU amenyamaza kimya tu kwa sababu ya upole wake, huruma na uvumilivu. Lakini siku hasira zake zitakapofurika atapiga kelele kama mwanamke aliye kwenye utungu wa kuzaa na hapo ndipo watu watakapolia na kusaga meno.
ISAYA 42:14, imeandikwa hivi; "siku nyingi nimenyamaza kimya, nimenyamaza nikajizuia; sasa nitapiga kelele kama mwanamke aliye katika kuzaa; nitaugua na kutweta pamoja pia".