Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

Hot discussion: Wanaume wa Tanzania na mapenzi

..Dada hili jambo usituangushie wanaume lawama...hili jambo linaratibiwa na wanawake kwa asilimia kubwa...na sisi ni utekelezaji tu.Hivi mwanamke ukiweka msimamo wa dhati hufanyi hicho kitu kuna mwanamme atakulazimisha?!..Udhaifu wenu wa kutaka kufurahisha mwanamme ndio unapelekea mnakutana na dhahama hizo....na kuna baadhi ya wanawake hawataki kabisa huko pa kawaida yaani wamepafanya pa ziada tu lkn kazi ipo nyuma na usipompa nyuma anakuona wewe Umetoka dunia isiyojulikana.....!na sisi wanaume hatusemi tu lkn tumekutana na vioja vingi mno
naona mmeamua kutugeuzia kibao? hivi kweli naweza kuona raha gani kumuambia mwanaume anigeuze? hao mnaokutana nao ni wale ambao mshawageuza wameshakuwa mateja .nani alaumiwe kwa kuwaharibu.?
Uongo gani sasa? Nyinyi si ndio mna misemo yenu ya ajabu....eti nipeleke chooni, nikikwambia choo kile pale nenda unaenda kusimulia wenzio huko nilivyo mshamba!
 
*Hakika naapa kwa mwenyezi Mungu Muumba mbingu na nchi aliye juu.
*Wanaume wanaofanya matendo ya namna hiyo mimi sipo pamoja nao kabisa
* Hakika namuomba Mwenyezi Mungu aniweke mbali na matendo ya namna hii mimi pamoja na kizazi changu.
Awape malipo wnayostahili watu hawa siku ya kufa kwao na siku ya kufufuliwa.
Amen.
ubarikiwe sana mkuu
 
Back
Top Bottom