hayaland
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 712
- 399
Nimekuwa nikifatilia habari mbalimbali hususani habari za UCHAGUZI KUU NA WAGOMBEA WAKE. nimegundua ni ITV pekee wanaorusha habari sahihi zisizo elemea upande wowote ule(sijui azam).ukikosa habari ya itv inakulazimu kutumia mitandao ya kijamii kupata habari zenye uhakikia zaidi.Baadhi ya vituo vya television sitapenda kuvitaja wao wamejikita katika habari za vijijini zisizo na mvuto hata kidogo.
Napenda kuwahasa kwa sasa ni kipindi cha uchaguzi ni muhimu sana kutoa habari za kampeni kwa vyama vyote bila kubagua. Ukiangalia STAR TV habari zao utadhani wako enzi za karne ya 20.Naamini wao katika mlengo wa chama fulani ila kuna haja ya kurusha habari za vyama vyote.Ukiangalia hawarushi habari za MH TUNDU LISSU na hawana mwandishi huko ila kampeni zinafanyika sana.
Tunakoelekea nguvu ya mitandao ya kijamii itakuwa kubwa sana kuliko kutegemea habari kutoka katika vituo vya televisions mbalimbali.Na baadhi ya vyama vya siasa wamebadili upepo wao wao badala ya kutumia zaidi tv sasa wammejikita zaidi katika mitandao ya kijamii.
Hongera sana MABELE MAKUBI kutupa habari za MH LISSU kwa uhakikia na mvuto wa hatari
Napenda kuwahasa kwa sasa ni kipindi cha uchaguzi ni muhimu sana kutoa habari za kampeni kwa vyama vyote bila kubagua. Ukiangalia STAR TV habari zao utadhani wako enzi za karne ya 20.Naamini wao katika mlengo wa chama fulani ila kuna haja ya kurusha habari za vyama vyote.Ukiangalia hawarushi habari za MH TUNDU LISSU na hawana mwandishi huko ila kampeni zinafanyika sana.
Tunakoelekea nguvu ya mitandao ya kijamii itakuwa kubwa sana kuliko kutegemea habari kutoka katika vituo vya televisions mbalimbali.Na baadhi ya vyama vya siasa wamebadili upepo wao wao badala ya kutumia zaidi tv sasa wammejikita zaidi katika mitandao ya kijamii.
Hongera sana MABELE MAKUBI kutupa habari za MH LISSU kwa uhakikia na mvuto wa hatari