ITV ni chombo pekee kinacho jiamini na kisicho na mkono wa mwanasiasa yeyote ndio maana kinasimama. huenda wamewahi pata mombi ya wanasiasa kutaka hisa ikawa ngumu, haikuwa hisa tu bali kuendesha tv kisiasa zaidi sasa lazima vyombo kama hivi viendelee kuwa superbrand