Uchaguzi 2020 Hongera sana ITV kwa kurusha habari kwa usawa kwa vyama vyote

ITV ni chombo pekee kinacho jiamini na kisicho na mkono wa mwanasiasa yeyote ndio maana kinasimama. huenda wamewahi pata mombi ya wanasiasa kutaka hisa ikawa ngumu, haikuwa hisa tu bali kuendesha tv kisiasa zaidi sasa lazima vyombo kama hivi viendelee kuwa superbrand
 
Kwakuwa tu umewapa sifa ITV kwa kurusha habari za "wasiyempenda" siku chache zijazo utasikia wamefungiwa kwa siku 7.

Tanzania itarejea kwenye misingi ya Uhuru na umoja jiwe akiondoshwa 28/10/2020. Na ndipo tutaanza kupata Maendeleo.
Kukwama kwetu kunaanzia hapa kuogopa kufungiwa uoga ni dhambi mbaya
 
The work of the media is to report the news and news only,impartiality,objectivity and subjectivity will come after the viewer has digested the news..Credit where credit is due,ukiangalia ITV miaka yote ,you'll never feel as if you are being force-fed propaganda. Unfortunately most media carry water for politicians
 
Nimekuwa nikifatilia habari mbalimbali hususani habari za UCHAGUZI KUU NA WAGOMBEA WAKE. nimegundua ni ITV pekee wanaorusha habari sahihi zisizo elemea upande wowote ule(sijui azam).ukikosa habari ya itv inakulazimu kutumia mitandao ya kijamii kupata habari zenye uhakikia zaidi.Baadhi ya vituo vya television sitapenda kuvitaja wao wamejikita katika habari za vijijini zisizo na mvuto hata kidogo.

Napenda kuwahasa kwa sasa ni kipindi cha uchaguzi ni muhimu sana kutoa habari za kampeni kwa vyama vyote bila kubagua. Ukiangalia STAR TV habari zao utadhani wako enzi za karne ya 20.Naamini wao katika mlengo wa chama fulani ila kuna haja ya kurusha habari za vyama vyote.Ukiangalia hawarushi habari za MH TUNDU LISSU na hawana mwandishi huko ila kampeni zinafanyika sana.

Tunakoelekea nguvu ya mitandao ya kijamii itakuwa kubwa sana kuliko kutegemea habari kutoka katika vituo vya televisions mbalimbali.Na baadhi ya vyama vya siasa wamebadili upepo wao wao badala ya kutumia zaidi tv sasa wammejikita zaidi katika mitandao ya kijamii.

Hongera sana MABELE MAKUBI kutupa habari za MH LISSU kwa uhakikia na mvuto wa hatari
Magufuli ameharibu nchi yetu sana.
 
Back
Top Bottom