Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

Hongera mmiliki wa Kebby's hotel, Mwenge

Hahahahahahhahaaa chungulia ina raha yake....

Mubashara ntaona aibu, raha ni pale ninapoiangalia kwa kuibia huku muda hautoshi heheheheh.

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ati muda hautoshi na mwenye tango lake ana haraka za kupita njia nansafari zake

Kasie hii ni grisi tosha kulainisha vyuma vyangu usiku huu.
 
Trip za Madale kuona kitoto kichanga cha nchi au kwenda Kigamboni kupumzika na zitaendelea kuwepo until further notice.
Niko kwa ajili ya wanyonge ...nikiandika hivi naomba munierewe tena muniombee

[emoji12]
Kigamboni[emoji33] [emoji33] [emoji33]
 
Utatumia pombe aibu ikutoke[emoji7]

Hahahahaaa hapana sio aibu za uoga. .... aibu za kike tuu ukinishika mkono ukanivuta taratibu kuelekea usawa wa tango aibu zote zinatoka, pombe hata haihitajiki heheheh
 
Usingechangia hapo ningezima simu nikalala

Aahahahahahahahaa jimmy uchokozi huo......

Si wajua Kasie na matango damdam. ..... napenda sana hiyo kitu sijui kwanini. Labda ndo maana naitwa Kasie Mahaba Matata.
 
Hotel nzuri, usalama upo, huduma safi, ipo location nzuuurii kabiisa yaani sina hakika kama mmiliki wake ni Mtanzania au mgeni ila kama ni mtanzania kwa kweli tumpe hongera yake, kafanya poa sana. Hiyo ndiyo Tanzania ya viwanda tuitakayo.

Nimepapenda, najiuliza tu huyo mmiliki hela ya kujengengea alipata wapi? Agh labda atakuwa ni mfanyabiashara maana nina hakika sio mfanyakazi wa umma especially wa serikali ya CCM ambayo miaka nenda miaka rudi imekuwa inapata viongozi waadilifu na wanaopenda wanyonge.

Hongera sana mmiliki, ila jina lako halisi ni Kebi au Alkebi?
Mkuu naomba ufute ulichokileta hapa,maana naona uzi unakoelekea kuna kitu nahofia kisije kukupata.Kuna tahadhari umeshapewa mkuu kama kweli kuna kitu unakitafuta!
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ati muda hautoshi na mwenye tango lake ana haraka za kupita njia nansafari zake

Kasie hii ni grisi tosha kulainisha vyuma vyangu usiku huu.

Hahahahhahahaaa karibuuu, ila wanaume hawajui tuu utamu ninaoupataga nikikutana na suruali iliyo sahau kuvaa boksa hehehehehhee wangejua kila siku wangekuwa wanasahu kuzivaa hehehehehehhe
 
Kosa lake ni lipi?
ZAMA HIZI, UKITAMKA CHOCHOTE KINACHOMHUSU BABA MKUBWA 100% UNAKULA BAN MOJA TAKATIFU! KABULA MCHEPUKO WAKE SI WA MCHEZO MCHEZO! UMENILAZIMISHA NISEME! WAKINIFATA NAKUTAJA
 
Back
Top Bottom