Bwawa la Nyerere kuwashwa ni pigo kwa January na genge lake

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,992
17,892
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa linaenda kuwashwa February 2024!!

Kina Nape hawa hawa ndo walikua wanatengeneza uvumi kuwa eti tumekata miti milioni 3!! Yaani watu hata mishipa ya aibu hawana wanafikiri maendeleo yanakujaga hivi hivi tu bila kujisacrifice kama taifa

Marekani wana hydroelectric,China wanazo tena zinatoa mamilioni ya megawatts halafu mjinga mmoja kwa kupewa pesa na wahuni wa solar,upepo na mafuta wanaleta mchezo wa kulihujumu bwawa?

Nilikua sikubaliani na Magufuli katika mengi lakini hili la bwawa nilisimama nae hadi kesho historia itaandikwa kwa wino wa dhahabu kuwa hakuna kiongozi aliyekua na uthubutu kwenye nishati kama magufuli

Sasa January na Maharage limewashuka shuu bila hata haya walikua wanauhujumu huu mradi ili tu wamkomoe magufuli, yaani kuna watu ni wajinga sana, wanaona wakimaliza huu mradi basi sifa zote zitaenda kwa hayati, kwahiyo ni bora uchelechelewe ila sifa ziende kwa mama.

Hamna kitu hao wahuni wataweza kunambia kuhusu bwawa la Nyerere na uzalendo!! Yako wapi hayo mauchafu yao ya Solar na upepo?

Wahuni ni watu wa hovyo sana,ningekua rais wangepigwa risasi mchana kweupe sichekeagi ujinga mimi!!
 
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa linaenda kuwashwa February 2024!!

Kina Nape hawa hawa ndo walikua wanatengeneza uvumi kuwa eti tumekata miti milioni 3!! Yaani watu hata mishipa ya aibu hawana wanafikiri maendeleo yanakujaga hivi hivi tu bila kujisacrifice kama taifa

Marekani wana hydroelectric,China wanazo tena zinatoa mamilioni ya megawatts halafu mjinga mmoja kwa kupewa pesa na wahuni wa solar,upepo na mafuta wanaleta mchezo wa kulihujumu bwawa?

Nilikua sikubaliani na Magufuli katika mengi lakini hili la bwawa nilisimama nae hadi kesho historia itaandikwa kwa wino wa dhahabu kuwa hakuna kiongozi aliyekua na uthubutu kwenye nishati kama magufuli

Sasa January na Maharage limewashuka shuu bila hata haya walikua wanauhujumu huu mradi ili tu wamkomoe magufuli, yaani kuna watu ni wajinga sana, wanaona wakimaliza huu mradi basi sifa zote zitaenda kwa hayati, kwahiyo ni bora uchelechelewe ila sifa ziende kwa mama.

Hamna kitu hao wahuni wataweza kunambia kuhusu bwawa la Nyerere na uzalendo!! Yako wapi hayo mauchafu yao ya Solar na upepo?

Wahuni ni watu wa hovyo sana,ningekua rais wangepigwa risasi mchana kweupe sichekeagi ujinga mimi!!
Una uhakika Gani hiyo January ndio linaenda kuwashwa?
 
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa linaenda kuwashwa February 2024!!

Kina Nape hawa hawa ndo walikua wanatengeneza uvumi kuwa eti tumekata miti milioni 3!! Yaani watu hata mishipa ya aibu hawana wanafikiri maendeleo yanakujaga hivi hivi tu bila kujisacrifice kama taifa

Marekani wana hydroelectric,China wanazo tena zinatoa mamilioni ya megawatts halafu mjinga mmoja kwa kupewa pesa na wahuni wa solar,upepo na mafuta wanaleta mchezo wa kulihujumu bwawa?

Nilikua sikubaliani na Magufuli katika mengi lakini hili la bwawa nilisimama nae hadi kesho historia itaandikwa kwa wino wa dhahabu kuwa hakuna kiongozi aliyekua na uthubutu kwenye nishati kama magufuli

Sasa January na Maharage limewashuka shuu bila hata haya walikua wanauhujumu huu mradi ili tu wamkomoe magufuli, yaani kuna watu ni wajinga sana, wanaona wakimaliza huu mradi basi sifa zote zitaenda kwa hayati, kwahiyo ni bora uchelechelewe ila sifa ziende kwa mama.

Hamna kitu hao wahuni wataweza kunambia kuhusu bwawa la Nyerere na uzalendo!! Yako wapi hayo mauchafu yao ya Solar na upepo?

Wahuni ni watu wa hovyo sana,ningekua rais wangepigwa risasi mchana kweupe sichekeagi ujinga mimi!!
Acha chuki mzee,januari ni mtu mdogo sanaaaa
 
Kiukweli limechelewa sana mwenyewe angekuwa hai muda huu siku nyingi tunawauzia somalia umeme!

Hata SGR ingekuwa mbali sana by now ; ingekuwa hatua za mwisho mwisho kumalizika! Lakini wapi mradi bado unasua sua tu hata ile trial ya Dar to Morogoro ni ndoto! Wakina Kadogosa na genge lake wanakula kodi yetu tu!
 
January hahusiki na chochote kwenye huo mradi..
Sio kuusimamisha wala kuuendeleza..
JANUARI HANA LOLOTE KWENYE HUO MRADI..HANA.
Watanzania ukiwalisha matango pori huangia kichwakichwa!!!
Kigogo kawalisha!!
 
Hili ni pigo kwa January na Genge lake, juhudi za kufifisha mradi wa Bwawa la Nyerere zilifeli
Hii ndo faida ya makamba kuondolewa Tanesco bila hivyo hilo bwawa lisingekamilika,katoka tu bwawa linaenda kuwashwa February 2024!!

Kina Nape hawa hawa ndo walikua wanatengeneza uvumi kuwa eti tumekata miti milioni 3!! Yaani watu hata mishipa ya aibu hawana wanafikiri maendeleo yanakujaga hivi hivi tu bila kujisacrifice kama taifa

Marekani wana hydroelectric,China wanazo tena zinatoa mamilioni ya megawatts halafu mjinga mmoja kwa kupewa pesa na wahuni wa solar,upepo na mafuta wanaleta mchezo wa kulihujumu bwawa?

Nilikua sikubaliani na Magufuli katika mengi lakini hili la bwawa nilisimama nae hadi kesho historia itaandikwa kwa wino wa dhahabu kuwa hakuna kiongozi aliyekua na uthubutu kwenye nishati kama magufuli

Sasa January na Maharage limewashuka shuu bila hata haya walikua wanauhujumu huu mradi ili tu wamkomoe magufuli, yaani kuna watu ni wajinga sana, wanaona wakimaliza huu mradi basi sifa zote zitaenda kwa hayati, kwahiyo ni bora uchelechelewe ila sifa ziende kwa mama.

Hamna kitu hao wahuni wataweza kunambia kuhusu bwawa la Nyerere na uzalendo!! Yako wapi hayo mauchafu yao ya Solar na upepo?

Wahuni ni watu wa hovyo sana,ningekua rais wangepigwa risasi mchana kweupe sichekeagi ujinga mimi!!
Unafikiri Magufuli alimtema kwanini, January na kundi lake la kisenge ni wezi balaa na Mama asipokuwa muangalifu itakula kwake. January hafai kwa wizara yeyote ile, huyu dogo alikuwa kilaza tu shuleni na ndiyo maana haoni hasara anayoipa nchi yetu. Haya ndiyo madhara ya kudekezwa.
 
Back
Top Bottom