Honestly, Isnt it Possible?? (Je ni Kweli haiwezekani kabisa??)

Nakubalina na wewe DA,

Eti mapenzi ni kitu cha kumgandisha mtu kwa mwingine? Labda kwa sababu mie ni mwanamume, tena yule wa 1947!!

Labda nimwombe mzee mwenzangu Asprin aje anisaidie kueleza vizuri. Hivi pale tunapotamani kufunua funua sketi na kufuli au kufanya ukaguzi kwa kila mtu kama ule wa week ya nenda kwa usalama, huwa tuna mapenzi kweli??

Kwa perspective ya mwanamume, naelewa jinsi ninavyompenda Bibi DC na ambavyo nisingependa ateseke kwa lolote au aumie kwa sababu ya matendo yangu....Ila kama ni mapenzi, tunafanya kwa sababu mie nina upendo kwake...May be naye ana kachembe ka upendo. Otherwise.....sijui mapenzi yanayoongelewa na MwanajamiiOne!!

Mzee DC (Ulikataa jina la Babu wakati wa Babu wa Loliondo) Haya mapenzi anayozungumzia MJ1 hapa naona ni kujiumiza hivi kweli kwa zama hizi kuna mtu anampenda mwenzie kwa dhati hilo halipoooooooooo!!!! Kataa ukubali huo ndo ukweli...

MJ1 anazungumzia kuumizwa (I guess) maana yaweza kuwa kampenda mtu kwa dhati na jamaa kaonyesha mapenzi kweli kweli akaja kumtenda sio kuambiwa live.....roho imemuuma zaidi.......................Mie siku hizi kiukweli sina mapenzi nina upendo tuu tena roho yangu na ubongo wangu havishirikiani kabisa kukomaa kwa mtu na kuona ananipenda HAKUNA MAPENZI SIKU HIZI BANA
 
Kweli kabisa,

Na kwetu sie wa 1947, tunaamini kwamba ngono unaweza kupata sehemu yoyote...iwe ya vodafasta au pay monthly!!

Babu DC!!

Mzee DC vodafasta ha ha ha ha kweli Eiyer kasema sawa kabisa mapenzi ni mahusiano ya ngono but upendo ni mtu yoyote................
 
Mzee DC (Ulikataa jina la Babu wakati wa Babu wa Loliondo) Haya mapenzi anayozungumzia MJ1 hapa naona ni kujiumiza hivi kweli kwa zama hizi kuna mtu anampenda mwenzie kwa dhati hilo halipoooooooooo!!!! Kataa ukubali huo ndo ukweli...

MJ1 anazungumzia kuumizwa (I guess) maana yaweza kuwa kampenda mtu kwa dhati na jamaa kaonyesha mapenzi kweli kweli akaja kumtenda sio kuambiwa live.....roho imemuuma zaidi.......................Mie siku hizi kiukweli sina mapenzi nina upendo tuu tena roho yangu na ubongo wangu havishirikiani kabisa kukomaa kwa mtu na kuona ananipenda HAKUNA MAPENZI SIKU HIZI BANA

Pole DA...Unahitaji tiba kwani unaonekana una ugonjwa wa kukata tamaa.....
 
Mwali where are u?
Sorry, nilikua sehem fulani hakuna net, ndio nimerudi.
Mi nadhani maisha bila mapenzi yanawezekana ila hayatakua na furaha
Siongelei the relationship itself as such, coz one can survive without
Siongelei ndoa neither, as I AM CONVINCED that some of us (Mimi num 1)
can be happier bila ndoa kuliko kua katika ndoa, yoyote ile, with whoever.

Mapenzi ninayo yaongelea ni mapenzi ya kawaida tu, the feeling itself:
Mapenzi ya mama kwa mwanae, ya kaka na dada, mtu na rafiki zake etc
Bila kuhisi na kuishi mapenzi kama haya binadam tunaweza depress seriously.
Ikibidi, basi relationship ya b-friend g-friend but ingia at your own risk...
 
Mzee DC (Ulikataa jina la Babu wakati wa Babu wa Loliondo) Haya mapenzi anayozungumzia MJ1 hapa naona ni kujiumiza hivi kweli kwa zama hizi kuna mtu anampenda mwenzie kwa dhati hilo halipoooooooooo!!!! Kataa ukubali huo ndo ukweli...

MJ1 anazungumzia kuumizwa (I guess) maana yaweza kuwa kampenda mtu kwa dhati na jamaa kaonyesha mapenzi kweli kweli akaja kumtenda sio kuambiwa live.....roho imemuuma zaidi.......................Mie siku hizi kiukweli sina mapenzi nina upendo tuu tena roho yangu na ubongo wangu havishirikiani kabisa kukomaa kwa mtu na kuona ananipenda HAKUNA MAPENZI SIKU HIZI BANA

Hapa bado pia sijaelewa,

Eti mtu mmepeana mapenzi halafu unaumia??

Kwa nini uumie wakati chakula mmekula wote na vyombo mkaosha wote pia. Cha kukuumiza kiko wapi hapo?

Nadhani bado sijaelewa kinachozungumziwa hapa!!

Babu DC!!

DA...Babu wa Loliondo alishakufa zake...ndo maana nikarudia jina langu la ukoo!!
 
Hapa bado pia sijaelewa,

Eti mtu mmepeana mapenzi halafu unaumia??

Kwa nini uumie wakati chakula mmekula wote na vyombo mkaosha wote pia. Cha kukuumiza kiko wapi hapo?

Nadhani bado sijaelewa kinachozungumziwa hapa!!

Babu DC!!

DA...Babu wa Loliondo alishakufa zake...ndo maana nikarudia jina langu la ukoo!!

Ha ha ha ha ndo mie nashindwa kuelewa niumizwe na kipi hasa na cha kushangaza???
Eeehhh kumbe alikufa haiwezekani mbona sikusikia lakini nitahakikisha kwa watu waweza kuwa wanidanganya
 
Ha ha ha ha ndo mie nashindwa kuelewa niumizwe na kipi hasa na cha kushangaza???
Eeehhh kumbe alikufa haiwezekani mbona sikusikia lakini nitahakikisha kwa watu waweza kuwa wanidanganya


Ndo maana nashangaa DA,

Halafu hapo hapo mnasema kuwa ni katika biashara ya kutoa na kupokea...Labda kama kuna mtu katapeliwa!

Babu DC!!
 
Nakubalina na wewe DA,

Eti mapenzi ni kitu cha kumgandisha mtu kwa mwingine? Labda kwa sababu mie ni mwanamume, tena yule wa 1947!!

Labda nimwombe mzee mwenzangu Asprin aje anisaidie kueleza vizuri. Hivi pale tunapotamani kufunua funua sketi na kufuli au kufanya ukaguzi kwa kila mtu kama ule wa week ya nenda kwa usalama, huwa tuna mapenzi kweli??

Kwa perspective ya mwanamume, naelewa jinsi ninavyompenda Bibi DC na ambavyo nisingependa ateseke kwa lolote au aumie kwa sababu ya matendo yangu....Ila kama ni mapenzi, tunafanya kwa sababu mie nina upendo kwake...May be naye ana kachembe ka upendo. Otherwise.....sijui mapenzi yanayoongelewa na MwanajamiiOne!!
Mzee mwenzangu kuna vitu labda huwa navitafsiri vibaya lakini nachelea kusema nitaishikilia tafsiri hiyo kama msimamo wangu kwenye mahusiano.

Naamini watu wanachanganya sana vitu vitatu katika mahusiano (hii ni kwa mujibu wa uelewa wangu finyu.). Mie naamini kuna Mapenzi, Mapendo (Upendo) na Kutamaniana. Kwangu mie ni vitu tofauti.

1. Mapenzi: Kwangu mie hii makitu inahusisha upendo na ngono ndani yake. Kwa mantiki hii kale ka maiwaifu kangu kanaangukia hapa. Nna mapenzi naye. Hata ikatokea kwa namna yoyote ile nimechepuka, hiyo itakuwa ni bahati mbaya na hakika kwake nitarudi tu. Hii inahusisha kupendana, kujaliana, kusikilizana, kuheshimiana, kuridhishana, kusameheana, kusaidiana na vitu kama hivyo.

2. Upendo: Huu ndio ule wa Agape sasa. Hauna uhusiano na ngono. Bahati nzuri kwenye upendo, hata yule uliye na mapenzi naye anaingia. Kwahiyo hapa wanaingia watu wengi sana, mke, marafiki, wazazi, watoto, majirani et el.

3. Matamanio: Hii ya kutamani ndio kama hiyo red hapo juu. Ni kutamaniana kuvuliana chupi na kubanjuka. Baada ya muda kila mtu anachukua time yake. Hisia zikirudi tena mnajikumbushia then kila mtu anachukua time. Hii inaweza sababishwa na tamaa za kimaumbile, sura, fedha, ulevi, misifa na vitu kama hivyo.

Hivi leo jumangapi vile?
 
Mzee mwenzangu kuna vitu labda huwa navitafsiri vibaya lakini nachelea kusema nitaishikilia tafsiri hiyo kama msimamo wangu kwenye mahusiano.

Naamini watu wanachanganya sana vitu vitatu katika mahusiano (hii ni kwa mujibu wa uelewa wangu finyu.). Mie naamini kuna Mapenzi, Mapendo (Upendo) na Kutamaniana. Kwangu mie ni vitu tofauti.

1. Mapenzi: Kwangu mie hii makitu inahusisha upendo na ngono ndani yake. Kwa mantiki hii kale ka maiwaifu kangu kanaangukia hapa. Nna mapenzi naye. Hata ikatokea kwa namna yoyote ile nimechepuka, hiyo itakuwa ni bahati mbaya na hakika kwake nitarudi tu. Hii inahusisha kupendana, kujaliana, kusikilizana, kuheshimiana, kuridhishana, kusameheana, kusaidiana na vitu kama hivyo.

2. Upendo: Huu ndio ule wa Agape sasa. Hauna uhusiano na ngono. Bahati nzuri kwenye upendo, hata yule uliye na mapenzi naye anaingia. Kwahiyo hapa wanaingia watu wengi sana, mke, marafiki, wazazi, watoto, majirani et el.

3. Matamanio: Hii ya kutamani ndio kama hiyo red hapo juu. Ni kutamaniana kuvuliana chupi na kubanjuka. Baada ya muda kila mtu anachukua time yake. Hisia zikirudi tena mnajikumbushia then kila mtu anachukua time. Hii inaweza sababishwa na tamaa za kimaumbile, sura, fedha, ulevi, misifa na vitu kama hivyo.

Hivi leo jumangapi vile?


Naunga mkono hoja kwa 100%
 
Sijajua mtoa mada unazungumzia mapemnzi yapi?
Ila kama ni yale ya" danganya danya tuu" kweli unaweza kuishi bila hayo.
 
Kweli haiwezekani??


Kuishi bila mapenzi (Kwa maana halisi ya mapenzi)?
Ni kweli kuwa tunaishi katika nyakati ambazo maana halisi ya neno mapenzi imepotea au inachukuliwa kirahisi sana (Q-Chilla aliimba " Kwani neno nakupenda, limekuwa kama salamu, maana hata hata watoto wadogo sasa naona wanapendana......." Lakini pamoja na kulitambua hilo (Kwa wale ambao tunatendwa, na kutendwa na kutendwa tena, kuna haja ya kuendelea kusimamia katika hii imani??

I am not a professional in this field. I am just a person who loves love and all that it offers towards me ni maumivu.

Am just asking
Haiwezekani kuishi bila mahusiano ya kimapenzi?
Kama haiwezekani ni kwa nini?

Ninawaza kwa sauti tu wapendwa.........................

Haiwezekani, kamwe mtu hawezi ishi bila mapenzi kwani ikiwa hivyo basi nafsi yake huwa mfu, na nafsi mfu ni kwa mfu tu, hata kama anapumua

Bahati nzuri sasa hapo kuna ile new love.... ina very short life span, yaweza kuwa hata kwa wiki mbili tu nayo ikaexpaya

Tatizo si love MJ1, tatizo ni trust
 
Pata kitu roho inapenda, kwa binadamu wa kawaida mwenye afya below 35yrs it is impossible, utaishia kuvimba macho


Duuuu,

Sasa macho yanavimbaje....Pressure ya kwenye macho (intra-ocular pressure) au kuvimba manyama nyama ya nje kutaanzia wapi na kunahusianaje na kukosa ngono?

Babu DC!!
 
Mzee mwenzangu kuna vitu labda huwa navitafsiri vibaya lakini nachelea kusema nitaishikilia tafsiri hiyo kama msimamo wangu kwenye mahusiano.

Naamini watu wanachanganya sana vitu vitatu katika mahusiano (hii ni kwa mujibu wa uelewa wangu finyu.). Mie naamini kuna Mapenzi, Mapendo (Upendo) na Kutamaniana. Kwangu mie ni vitu tofauti.

1. Mapenzi: Kwangu mie hii makitu inahusisha upendo na ngono ndani yake. Kwa mantiki hii kale ka maiwaifu kangu kanaangukia hapa. Nna mapenzi naye. Hata ikatokea kwa namna yoyote ile nimechepuka, hiyo itakuwa ni bahati mbaya na hakika kwake nitarudi tu. Hii inahusisha kupendana, kujaliana, kusikilizana, kuheshimiana, kuridhishana, kusameheana, kusaidiana na vitu kama hivyo.

2. Upendo: Huu ndio ule wa Agape sasa. Hauna uhusiano na ngono. Bahati nzuri kwenye upendo, hata yule uliye na mapenzi naye anaingia. Kwahiyo hapa wanaingia watu wengi sana, mke, marafiki, wazazi, watoto, majirani et el.

3. Matamanio: Hii ya kutamani ndio kama hiyo red hapo juu. Ni kutamaniana kuvuliana chupi na kubanjuka. Baada ya muda kila mtu anachukua time yake. Hisia zikirudi tena mnajikumbushia then kila mtu anachukua time. Hii inaweza sababishwa na tamaa za kimaumbile, sura, fedha, ulevi, misifa na vitu kama hivyo.

Hivi leo jumangapi vile?

Sina la kusema, ngoja nimwombe mzee mmoja anisaidie kidogo,

Thank you very much. Thank you. Thank you. (Sustained cheers, applause.) Thank you. Thank you. Thank you. Thank you.
Now, Mr. Mayor, fellow Democrats, we are here to nominate a president. (Cheers, applause.) And I've got one in mind. (Cheers, applause.)
I want to nominate a man whose own life has known its fair share of adversity and uncertainty. I want to nominate a man who ran for president to change the course of an already weak economy and then just six weeks before his election, saw it suffer the biggest collapse since the Great Depression; a man who stopped the slide into depression and put us on the long road to recovery, knowing all the while that no matter how many jobs that he saved or created, there'd still be millions more waiting, worried about feeding their own kids, trying to keep their hopes alive.
I want to nominate a man who's cool on the outside - (cheers, applause) - but who burns for America on the inside. (Cheers, applause.)
I want - I want a man who believes with no doubt that we can build a new American Dream economy, driven by innovation and creativity, but education and - yes - by cooperation. (Cheers.)

And by the way, after last night, I want a man who had the good sense to marry Michelle Obama. (Cheers, applause.)
You know - (cheers, applause). I - (cheers, applause).
I want - I want Barack Obama to be the next president of the United States. (Cheers, applause.) And I proudly nominate him to be the standard-bearer of the Democratic Party.

By PRESIDENT BILL CLINTON

And I proudly nominate you (Asprin, Babu ODM) to be the King wa mababu wote wa hili jukwaa tukufu!!


Babu DC!!
Retired Maj Gen (1947)
12th Sept 2012
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom