Honestly, Isnt it Possible?? (Je ni Kweli haiwezekani kabisa??)

Yes FP, ila hakuna shida kamba abundance...it corrupts more than you can imagine!

Kuna binti mmoja alikuwa anashangaa kwamba inawezekanaje watu wakala ugali kwa dinner kwa sababu kwao hajawahi kuona kitu kama hicho!!

May be na wewe ni mmoja wa watu wa namna hiyo....

Babu DC!!
hii imekaa vizuri babu, ila kwa kweli si-regret kwa ninachokiamini. uzuri ni kwamba moyo ukivunjika huwa haufi, inachukua muda tu kuukarabati then unaendelea kudunda.
 
Making love (kufanya mapenzi) kuna emotins na feelings zinakuwepo, sex (ngono) inakuwa physical part tu ambayo wengine wanaweza wasiingize hisia while doing it! Ni sawa na nyeto tu, (nyeto chapa mtu).

Kuna sehemu nimesoma panasema hivi;-
Kufanya mapenzi ni tendo na kujamiana mke na mme halali ndani ya ndoa.
Kufanya ngono ni kitendo cha kujamiana kati mke na mme ambao hawana uhalali wa ndoa iwe ya kimila,kanisani,msikitini au bomani. Kwa namna hiyo wanao fanya ngono ni wazinzi/wazinifu
 
Mzee mwenzangu kuna vitu labda huwa navitafsiri vibaya lakini nachelea kusema nitaishikilia tafsiri hiyo kama msimamo wangu kwenye mahusiano.

Naamini watu wanachanganya sana vitu vitatu katika mahusiano (hii ni kwa mujibu wa uelewa wangu finyu.). Mie naamini kuna Mapenzi, Mapendo (Upendo) na Kutamaniana. Kwangu mie ni vitu tofauti.

1. Mapenzi: Kwangu mie hii makitu inahusisha upendo na ngono ndani yake. Kwa mantiki hii kale ka maiwaifu kangu kanaangukia hapa. Nna mapenzi naye. Hata ikatokea kwa namna yoyote ile nimechepuka, hiyo itakuwa ni bahati mbaya na hakika kwake nitarudi tu. Hii inahusisha kupendana, kujaliana, kusikilizana, kuheshimiana, kuridhishana, kusameheana, kusaidiana na vitu kama hivyo.

2. Upendo: Huu ndio ule wa Agape sasa. Hauna uhusiano na ngono. Bahati nzuri kwenye upendo, hata yule uliye na mapenzi naye anaingia. Kwahiyo hapa wanaingia watu wengi sana, mke, marafiki, wazazi, watoto, majirani et el.

3. Matamanio: Hii ya kutamani ndio kama hiyo red hapo juu. Ni kutamaniana kuvuliana chupi na kubanjuka. Baada ya muda kila mtu anachukua time yake. Hisia zikirudi tena mnajikumbushia then kila mtu anachukua time. Hii inaweza sababishwa na tamaa za kimaumbile, sura, fedha, ulevi, misifa na vitu kama hivyo.

Hivi leo jumangapi vile?

.....I salute you kiongozi. Kwenye package ya NDOA hayo matatu pia yamo,
 
.....I salute you kiongozi. Kwenye package ya NDOA hayo matatu pia yamo,
Kabisa kabisa mkuu Moskwito Mbu. Kwanye ndoa kuna vyote hivi. Mke ni lazima uwe na mapenzi naye, uwe na upendo naye na hakika uwe na matamanio nae...... Na hii makitu SI unit yake ni WIVU

Naamini na hapa ntakamata LIKE ya babu mwenzangu asiyetokea Loliondo Dark City, Retired Maj Gen 1947
 
Kabisa kabisa mkuu Moskwito Mbu. Kwanye ndoa kuna vyote hivi. Mke ni lazima uwe na mapenzi naye, uwe na upendo naye na hakika uwe na matamanio nae...... Na hii makitu SI unit yake ni WIVU

Naamini na hapa ntakamata LIKE ya babu mwenzangu asiyetokea Loliondo Dark City, Retired Maj Gen 1947

uzuri wa mapenzi ya dhati yapo kwa wawili waishio pamoja tu nje ya hapo hakuna kitu ni maujanja ya kulimega tunda tu.

when it comes to this love Wivu ni kipimo cha unampenda mwenzio kiasi gani. kama huna wivu nae ni wazi kwamba humpendi na wivu umejazwa moyoni mwa mtu wala sio kwenye matendo ya nje.
 
uzuri wa mapenzi ya dhati yapo kwa wawili waishio pamoja tu nje ya hapo hakuna kitu ni maujanja ya kulimega tunda tu.

when it comes to this love Wivu ni kipimo cha unampenda mwenzio kiasi gani. kama huna wivu nae ni wazi kwamba humpendi na wivu umejazwa moyoni mwa mtu wala sio kwenye matendo ya nje.
Hivi unajua hata kwenye infidelity kuna wivu?
 
Mzima wewe Swahib?

Mbona umepotea hivyo?

Tumekumiss sana na michango yako inahitajika mkuu!!

Babu DC!!

......nipo swahiba, majukumu tu yameongezeka, alhamdulillah.
Wallahi mie mwenzenu nilishawahi wauliza na mkanijibu, -kama mapenzi
Ni matamu, kwanini mapenzi yanauma?- "maumivu ya mapenzi"
 
Aseeee . . . . .duh!!!,!

Naona wajuaji wapo busy hapa . . . . . Washauri wa mapenzi upendo na mahusiano ya ngono.
Mi nawaangalia tu hapa.
Hakuna ufundi kwenye haya mambo, watu wapo tofauti and universal formula will no work to all.
Sijui ni kwanini hamuelewi hii.

....hahahahah!...

umemaliza hapa hapa...!

ngoja niendelee na vipindi darasani....



LAKINI NINYI WANAUME MNAOTESA DADA ZETU NIINYIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!....NINYIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

OLE WENU...NARUDIA TENA OLE WENU....NARUDIA MARA YA MWISHO OLE WENU
 
Sasa hicho kipindi darasani ndo unafundisha kwa kupiga mkwara? Na nyie wekeni mfumo wa kutoa vibali vya maandamano kwa dada zenu ili wasitendwe wakatendeka! Mkiona haieleweki mna-withdraw kibali.

Sometimes I dream of a braza from anaza maza ambae ni mafia mob,kha!

....hahahahah!...

umemaliza hapa hapa...!

ngoja niendelee na vipindi darasani....



LAKINI NINYI WANAUME MNAOTESA DADA ZETU NIINYIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII!....NINYIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII

OLE WENU...NARUDIA TENA OLE WENU....NARUDIA MARA YA MWISHO OLE WENU
 
Kuna sehemu nimesoma panasema hivi;-
Kufanya mapenzi ni tendo na kujamiana mke na mme halali ndani ya ndoa.
Kufanya ngono ni kitendo cha kujamiana kati mke na mme ambao hawana uhalali wa ndoa iwe ya kimila,kanisani,msikitini au bomani. Kwa namna hiyo wanao fanya ngono ni wazinzi/wazinifu

Kila mtu ana haki ya kutafsiri anavyotaka, mchezo wa maneno ni mzuri sana kama unayajua kuyatumia. Angenishawishi kidogo kama angesema tendo la ndoa ni ngono iliyobarikiwa.

Ila nijuavyo mimi love making, ina vitu vingi nje na beyond sex, while doing sex ni kitendo tu cha penetration, pumping and ejaculation.
 
.......wow! .....nice post, outputs and inputs za ukweli.
Salama na amani iwe juu yenu.
Ijumaa kareem.

Soulmate ! nice seeing you again
Hebu tumwagie ushauri wako hapa mie nimeishiwa aisee.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hivi unajua hata kwenye infidelity kuna wivu?

babu Asprin hapa nitaomba unielezee kinagaubaga..........mfano tu unaoneaje wivu usafi wa nyumba ya kupanga??
Samahani sina nia mbaya lakini (unless uwe na uhakika kuwa hiyo infedelitee) haina mtu mwingine zaidi yako Babu
 
......nipo swahiba, majukumu tu yameongezeka, alhamdulillah.
Wallahi mie mwenzenu nilishawahi wauliza na mkanijibu, -kama mapenzi
Ni matamu, kwanini mapenzi yanauma?- "maumivu ya mapenzi"
Kwa kweli hapa Mbu umenirudisha kule kwenye thread yako. Nadhani utamu wa mapenzi ni maumivu yake au? lol
 
Last edited by a moderator:
Kila mtu ana haki ya kutafsiri anavyotaka, mchezo wa maneno ni mzuri sana kama unayajua kuyatumia. Angenishawishi kidogo kama angesema tendo la ndoa ni ngono iliyobarikiwa.

Ila nijuavyo mimi love making, ina vitu vingi nje na beyond sex, while doing sex ni kitendo tu cha penetration, pumping and ejaculation.

Aksante Da Kaunga.
By the way unajua kitu ambacho nimekigundua niile hali ya kusahau. Tukumbuke kuwa mpeka mapenzi yalete maumivu na wewe uanze kulaani na kulia, kumbuka kuna raha, starehe na ile hali ya 'heaven is my home now' ambayo utapitia. Hii tunastahili kuiappreciate na kucarry on their memories. Nadhani ndicho alichokuwa akimaanisha Mamaa wa Upako Caroline Danzi.
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli hapa Mbu umenirudisha kule kwenye thread yako. Nadhani utamu wa mapenzi ni maumivu yake au? lol

....lol, soulmate...."usidhani," ....wewe amini tu kuwa penye utamu, uchungu lazima (mfano; utamu wa nanihii, halafu labor pains.... Utamu wa chakula, constipated... Utamu wa 'ulabu', hangover, etc)....

All in all, hata pale tunapolazimika kufanya maamuzi muhimu, magumu na 'machungu,' we should always Cherish the best Romantic moments 'we' are blessed with...x
 
Last edited by a moderator:
Kuishi bila mapenzi haiwezekani kabisa by any means. Usipokuwa na mpenzi hapa duniani utakuwa naye wapi???????????
Mungu aliona Adam ni mpweke akaona ni vyeama amwumbie mrembo tena wa kufanana naye.Tatizo kubwa ni kwamba tunatafuta wapenzi ambao hatufanani nao thats why mapenzi yanaleta shida sana katika maisha ya mwanadamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom