Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
hii imekaa vizuri babu, ila kwa kweli si-regret kwa ninachokiamini. uzuri ni kwamba moyo ukivunjika huwa haufi, inachukua muda tu kuukarabati then unaendelea kudunda.Yes FP, ila hakuna shida kamba abundance...it corrupts more than you can imagine!
Kuna binti mmoja alikuwa anashangaa kwamba inawezekanaje watu wakala ugali kwa dinner kwa sababu kwao hajawahi kuona kitu kama hicho!!
May be na wewe ni mmoja wa watu wa namna hiyo....
Babu DC!!