Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,956
- 4,648
Kwanza naona unajileta we mwenyewe.
Umesema Biblia inapatikana sehemu nyingi, hivyo bei ni tofauti. Dawa ya Babu inapatikana wapi na wapi???
Huko zinapotoka Biblia bei ni fixed au????
Unaweza ukatuletea sehemu ambayo Babu amesema alioteshwa hiyo 500/-??
Turudi kanisani.
Ni kweli sadaka sio lazima pesa, ni chochote, lakin unafahamu kwamba zile bahasha za kutolea sadaka zimeandikwa umetoa kiasi gani kwa pesa tu na sio vinginevyo???
Kama unafahamu kwamba kutoa sadaka sio lazima, je kutafuta tiba ni lazima????
Babu alisema ni lazima utibiwe na yeye???
Kuna mtu alikosa 500/- akaomba asaidiwe ikashindikana???
Huyu Mungu alisema NA ASIYEFANYA KAZI ASILE, je kutayakumbuka haya maneno kweli???
Wewe uliyekuwa na 100/- uliomba kusaidiwa na Babu au mtu yeyote ikashindikana???
Je ni kweli haiwezekani kusaidiwa???
Bado hujasema, tunapoambia tuchangie ujenzi wa kanisa ili ifike kiasi fulani sio fixed amount??
Sare za kwaya je?? Kitatakiwa kiasi chochote kuzipata???
Narudia tena babu alisema mwenyewe kuwa ameoteshwa atoze sh 500/-
nakuuliza swali na wewe, babu alishawahi kutangaza kuwa aliye na pesa chini ya 500/- aende akatibiwe?