LD
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 3,014
- 578
basi maadamu mimi na wewe hatufahamu yaliyo moyoni mwake, na wala hatupaswi kumhukumu ili tusihukumiwe muacheni babu afanye kazi yake kwa wanaoamini watapona kwa uwezo wake aliopewa na mungu.
Muacheni babu ahudumie watu, msimzushie yasiyo na msingi kwamba eti hatawaponya masikini, au wasio na hiyo 500/- aliwahi kutamka hivyo???
Acheni afanye kazi yake bwana, wasio na hiyo hela waende pia tuone kama hawatapewa huduma, sio kuzusha tu
huku tukiomba kwa bidiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii