Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
CPU haahhaa. Ndio point ya Judith kuwa sio kila ndoto ni ufunuo wala miujiza. Mengine ni shetani.
Sasa wewe utajaza kuwa Loliondo ni Ufunuo au Shetani na vile utajaza kuwa kuchorachora ni Ufunuo au Shetani
Sasa wewe utajaza kuwa Loliondo ni Ufunuo au Shetani na vile utajaza kuwa kuchorachora ni Ufunuo au Shetani
Mwalimu
Mimi nilikuwa naambiwa tu kwamba UTACHORWA CHORWA kifuani, sijui utafanyiwa nini (mbinu zingine nimezisahau) sasa nikashindwa kuelewa ikitokea hivyo ndio nayo ni miujiza au ufunuo?? Maadamu mleta mada hii ndio aliyeleta na hiyo ya kuchorana, basi na wewe yapaswa uwe mwanafunzi kwake ili akufundishe. Atakupangia ratiba nadhani, kutwa mara 3 kama sikosei