Magogwajr
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 221
- 20
Nadhani kukosa 500/ sio ishu.ishu ipo kwenye nauli ya kufika huko
nashindwa hata nianzie wapi!!!!!!! watu wanamsakama babu kwa kutoza sh 500/- me naomba miss judith na wenzako mjaribu kujiuliza maswali yafuatayo
je hao wanaotoza laki moja na nusu naulu hamuwaoni? ni nani aliyekosa hiyo 500/- akanyimwa huduma na babu? hivi mnaosema babu angeacha mtu atoe alichonacho na sio kupanga fixed price mnazijua principles na operation za demand and supply nyie? ni wangapi wangekuwa willing kutoa hata zaidi ya million moja na kupandisha gharama za kikombe? mnaona babu anawaibia sh 500/- eti me nawaomba muende kwa dr ndodi mkatoe mamillion yenu ndio mtaona demand na supply ilivyo inflate gharama za matibabu za dr ndodi